Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Kutokubalika kwa Waziri wa afya na naibu wake kulikosababisha madaktari
wampe JK masaa 72 kuwaondoa katika wizara hiyo ni pamoja na waziri kuwaita
interns madaktari wanafunzi.
Kwa mliopitia vyuoni kwa mafunzo ya taaluma, internship hufanywa wakati ukiwa
mwanafunzi na hivyo sahihi kuitwa mwanafunzi au ni kosa kama alivyofanya
aidha waziri au naibu wake?
Nawasilisha.
wampe JK masaa 72 kuwaondoa katika wizara hiyo ni pamoja na waziri kuwaita
interns madaktari wanafunzi.
Kwa mliopitia vyuoni kwa mafunzo ya taaluma, internship hufanywa wakati ukiwa
mwanafunzi na hivyo sahihi kuitwa mwanafunzi au ni kosa kama alivyofanya
aidha waziri au naibu wake?
Nawasilisha.