Kumbe hata kuitwa Daktari mwanafunzi kwa Interns Doktors ni moja ya makosa?

Tatizo la malumbano yote haya ni majivuno tu hakuna kingine. Hata mimi sion tatizo kwa hao intern kuitwa madaktari (matabibu) wanafunzi. Wangekua wamemaliza uanafunzi wao wasingehitaji uangalizi wa mtu wa kuwafundisha kazi na wangeruhusiwa kwenda kutibu moja kwa moja. Hata mwongozo wa masomo yao unaonyesha kwamba, daktari anasoma mafunzo ya darasani kwa miaka mitano na baada ya hapo anaingia kwenye mafunzo ya vitendo (internship). Sasa malumbano yote yanatoka wapi. Hivi wewe daktari wa intern ukiitwa daktari mwanafunzi unapungua kitu gani? Majivuno kitu kibaya sana... Jitahidini kudai madai yenu ya msingi badala ya kung'ang'ania title ambazo bado hamjazipata.
 
wewe huoni kwamba ni tatizo?kauli ya waziri wa afya inaweza kuondoa tamko la jopo la maprofesa waliosema
huyu mtu ni daktari.jaribu kuwa great thinker
im trying........lakini mimi siamini sana katika majina(sifa) na wala madaktari wenye upeo hawawezi kuona kama hii nayo ni hoja........uitwe daktari mwanafunzi au kindagaten yote hayana maana.....cha muhimu ni mazingira bora ya kazi......nadhani ndiyo madai yao ya msingi
 
Back
Top Bottom