Duh madongo kam haya mleta mada futa huu uzi ili 2017 ije kwa amani juu yako...Umbea mtoto wa kiume kaa kimya
Tumia fursa hiyo kumnasa naye..yananihusu....kwa sababu huyo mwingine mara kadhaa huwa anakujaga room kujikalisha wakati wanafanya yao hadi mchana...ananiboa
Uzi tu, unaashilia ni mwanaume wa darUmezubaa sana demu wa kitaa chenu mpaka anachukuliwa na mshkaji toka kitaa kingine upoupo tu
Sasa si umwambie, kwani yupo humu?yananihusu....kwa sababu huyo mwingine mara kadhaa huwa anakujaga room kujikalisha wakati wanafanya yao hadi mchana...ananiboa
Ni zaidi ya uzuzuHuyo mwanaume anayekwenda kulala kwa mwanamke mwenye chumba cha kuchangia hana adabu, haya wala akili...
Huyo mwanaume anayekwenda kulala kwa mwanamke mwenye chumba cha kuchangia hana adabu, haya wala akili...