nipo eneo moja tumepanga wanaume na wanawake...sasa kuna mademu wawili wamepanga chumba kimoja sasa mmoja amemleta bwana wake....ni wiki moja sasa....hii imemfanya huyu mwingine alale kwa demu mwingine ambaye anaishi pekeyake....kumbe na nyinyi mnapigana exile!!!?