Kumbe Dr. Slaa Angejiapisha tu

kuapishwa simbali toka sasa.umma utamapisha dec.2015 .ataapa na dunia itashuhudia kama ilivyotokea kwa edward shivrinade ulivyo iba kura ktk uchaguzi wa georgia.yeye kamaamua kukaa kimya kwa ajili ya ya faida ya taifa.tutamapisha tu.nguvu ya umma haitashindwa na jeshi wala polisi najeshi la kukodi la ulya au marekani.tusubiri
 
Back
Top Bottom