Ukizeeka utakuwa kigagulaaChadema mtajuta kusimamisha msaliti wa Nchi Lissu apeperushe bendera ya Chadema Akiwaletea Chadema hata wabunge wawili mkatambike
Dah!!Utakuaga unalipwa elfu14 badala ya elfu7 eeee?maana kila sehemu upo tena 24hrs....nacomment zako niiziizi ulizokalilishwa.Pole Sana brother bora kampen ziiche mapema tu sio kwamateso ayo waliokukabzi dah!Chadema mtajuta kusimamisha msaliti wa Nchi Lissu apeperushe bendera ya Chadema Akiwaletea Chadema hata wabunge wawili mkatambike
Jidanganyeni. Nani anataka genge la wahuni na mashoga. Chadema huku kwao wenyewe wamekirushia masale.Chama cha hovyo kabisa hili.Mwenyekiti wenu ana wafaidi Sana.Wana CCM wenyewe hawakitaki hiki chama
HIVI TOKA KAMPENI ZIANZE NA MPAKA LEO, NIONESHE HOTUBA HATA MOJA YA TUNDU LISU ALIYOWAHIHUTUBIA UMA IKAONEKANA NI HOTUBA YA MGOMBEA URAISI. NIWEKEE ATA MOJA.Sio siri kuwa Magufuli na timu yake ya uongozi ndani ya CCM wanaogopa sana chama chao kugeuka cha upinzani kuliko wanavyo muogopa Mungu kwa kushitikiana na shetani...
Wapi huko?
Sasa kura sizihesabiwe kwa uwaziJidanganyeni. Nani anataka genge la wahuni na mashoga. Chadema huku kwao wenyewe wamekirushia masale.Chama cha hovyo kabisa hili.Mwenyekiti wenu ana wafaidi Sana.
Matamko kama haya yanaletwa na viashiria vya CCM kuogopa kuruhusu Watanzania kuwa fanya chama cha upinzaniView attachment 1609131
Kwani hotuba ya mgombea urais inatakiwa iwe na "elements" gani ndani yake?HIVI TOKA KAMPENI ZIANZE NA MPAKA LEO, NIONESHE HOTUBA HATA MOJA YA TUNDU LISU ALIYOWAHIHUTUBIA UMA IKAONEKANA NI HOTUBA YA MGOMBEA URAISI. NIWEKEE ATA MOJA.
Kwa sababu kimetekwa na wanaharakati uchwara.Wana CCM wenyewe hawakitaki hiki chama
Ilikuwa Mbeya mkuuWapi huko?