Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,702
MTANISAMEHE KAMA IMERUDIWA...
Mimi nilifikiri Chadema wakorofi bungeni tu kumbe mp[aka hotelini..!!
Jana wakati wanakula walianza (Wenje) "mwongozo wa mwenye hoteli, chumvi haitoshi"
Mnyika: "Taarifa mheshimiwa., mchuzi unaonekana wa jana siungi mkono hoja ya kulipia chakula hiki."
Tundu Lisu: "Mwongozo, mwongozo, niliagiza kuku wa kienyeji, niliagiza kuku wa kienyeji nimeletewa wa kisasa silipi"
Zitto: "Tume iundwe kuchunguza kama kweli mchele huu ni wa Mbeya"!!
Mimi nilifikiri Chadema wakorofi bungeni tu kumbe mp[aka hotelini..!!
Jana wakati wanakula walianza (Wenje) "mwongozo wa mwenye hoteli, chumvi haitoshi"
Mnyika: "Taarifa mheshimiwa., mchuzi unaonekana wa jana siungi mkono hoja ya kulipia chakula hiki."
Tundu Lisu: "Mwongozo, mwongozo, niliagiza kuku wa kienyeji, niliagiza kuku wa kienyeji nimeletewa wa kisasa silipi"
Zitto: "Tume iundwe kuchunguza kama kweli mchele huu ni wa Mbeya"!!