WABHEJASANA
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 4,225
- 869
Akili ndogo ni ngumu sana kuongoza akili kubwa!!
Rais wa nchi anapaswa kuongea kwa lugha ya kidiplomasia na siyo lugha za mitaani! Kwa lugha aliyotumia Rais hatumtofautishi na FUTUHI!
hata hivyo rais alimheshimu sana huyu bana mdogo;
alitakiwa akumbushwe maadili kidogo.
Rais wa nchi anapaswa kuongea kwa lugha ya kidiplomasia na siyo lugha za mitaani! Kwa lugha aliyotumia Rais hatumtofautishi na FUTUHI!
Hili sakata limenikumbusha msemo wa muosha huoshwa.
Lissu alipokuwa anatukana mlikuwa wapi?
Huo ni uongo,fitina, uzushi, unafiki ,uchochezi na uzandiki-sera za Chama chenu, haka Mbowe kaanika ukweli huo.hiyo MY TAKE yako uongo mtupu , cdm haisikitikii lugha iliyotumika , kinachosikitisha ni Jk kuukataa ukweli ili kumfurahisha wasira !
Kweli kabisa, tulilalamika hapa jamvini juu ya lugha ya Lissu, wajanja wakamsapoti tena na matusi juu.Mkuki kwa ngurue kwa binadamu mchungu
Rais wa nchi anapaswa kuongea kwa lugha ya kidiplomasia na siyo lugha za mitaani! Kwa lugha aliyotumia Rais hatumtofautishi na FUTUHI!
Mkuu wale wataalam wa CHADEMATUSI wote wameingia mitini, wakifikiri wanajua sasa wamepiata.Hili sakata limenikumbusha msemo wa muosha huoshwa.
Lissu alipokuwa anatukana mlikuwa wapi?
Rais wa nchi anapaswa kuongea kwa lugha ya kidiplomasia na siyo lugha za mitaani! Kwa lugha aliyotumia Rais hatumtofautishi na FUTUHI!
na mbunge/mtunga sheria ni sawa kutukana?
chadema ni mkusanyiko wa wahuni
Hata hivyo rais alimheshimu sana huyu bana mdogo;
Alitakiwa akumbushwe maadili kidogo.
Mkuu wale wataalam wa CHADEMATUSI wote wameingia mitini, wakifikiri wanajua sasa wamepiata.
Ukiitwa muongo, mfitini,mnafiki na mzandiki basi elimu yote uliyonayo haiwezi kukusaidia kimaisha.
Tatizo wengine hawaambiliki!!
Mkuu wewe ni muongo, mchonganishi , mfitini, mnafiki na mzandiki.Kama akili zako ziko sawa ebu tafakari kauli hii,
''WANANCHI WA IRAMBA NAFUU MSINICHAGUE MIMI KULIKO KUMCHAGUA TUNDU LISSU AINGIE BUNGENI''
Hii ni kauli ya Kikwete wakati wa Kampeni kule Iramba, je alikuwa namaanisha nini? ebu unganisha DOT's na haya yanayotokea na jinsi Lissu anavyowasumbua sasa.
Hata hivyo rais alimheshimu sana huyu bana mdogo;
Alitakiwa akumbushwe maadili kidogo.
Nimeliona hili ndani ya gaezti la Majira leo 8/10/2013.
Na habari yenyewe inasema
"JK AMUOMBE RADHI LISSU-MBOWE
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA ) , kimemtaka Rais Jakaya Kikwete amuombe radhi Mnadhimu Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani bungeni, Bw. Tundu Lissu.
Mwenyekiti wa Chama hicho Bw Freeman Mbowe, aliyasema hayao Dar es salaamjana wakati akifungua mkutano wa siku nne uliohusisha wataalamu wa chama hicho kutoka kanda zote nchini.
Alisema CHADEMA kimesikitishwa na hatua ya Rais Kikwete kumshambulia Bw. Lissu kwa maneno akidai hotuba yake ambayo aliisoma bungeni Mjini Dodoma katika bunge lililopita ilijaa uzushi,uongo,unafiki, fitina na uzandiki wa hali ya juu.
Bw Mbowe alisema , hotuba hiyo haikuwa ya Bw Lissu bali ilitolewa na Kambi rasmi ya Upinzani bungeni....."
My Take:
Mbowe atilie maanani kuwa inaelekea amesikitishwa na jinsi ujumbe ulivyofikishwa na Mh JK, lakini hajapinga kile kilichondani ya ujumbe wenyewe.
Pili, lugha zisizo na staha zimekuwa zikivumiliwa sana na viongozi wa CHADEMA, hapa majuzi tu ni Mh. Lissu huyu huyu alisikika akisema miCCM,maCCM, leo yamempata makubwa!
Inakuwaje tena kulalama wakati mmechagua kuwa hiyo ndo staili ya kufikisha ujumbe?