kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,745
Hayo maneno aliyoyatunia Kikwete kumshambulia Lissu kwa kusema Lissu ni muongo, mchonganishi , mfitini, mnafiki na mzandiki je Kikwete alikuwepo wakati Lissu anayasema aliyoyasema?Mkuu wewe ni muongo, mchonganishi , mfitini, mnafiki na mzandiki.
Mimi sikuweko huko!!