Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,515
- 6,489
Make up, baaasi
Make up, baaasi
huyo dem naona anatumia numark pro anaonekana ana mix za hatari hatari ila hanishindi huyo mzeebaba haha
Ni wa kike mwananguHuyo mshikaj hapo ni wa kike kwan? Au ndio transgender?
Hahaaa mkuu mbona unajihamihuyo dem naona anatumia numark pro anaonekana ana mix za hatari hatari ila hanishindi huyo mzeebaba haha
Unaweza ukawa na mashine nzuri lakini ukapiga maembehuyo dem naona anatumia numark pro anaonekana ana mix za hatari hatari ila hanishindi huyo mzeebaba haha
Niko vitani mkuu lazima niwe na silaha!. ina maana hunijui mie dj wako bosi??hahaha
ni kweli mkuu na ila mpaka anapata tenda kama hiyo ujue ana mafekeche ya hatari
No no nashangaa kujihami mapema kuwa huyo demu hakuwez wakati uwezi wako naujua kuwa wewe ni motooNiko vitani mkuu lazima niwe na silaha!. ina maana hunijui mie dj wako bosi??hahaha