Salute mkuu
Salute mkuu
Mwamba atakuwa na cataracts 😂😂😂
Duu umenifanya nirudi huu kuangalia hiyo pic
Namimi nimezungumzia ubaya wakeMimi nimezungumzia uzur wake
Ni Numark NS7II hiyo kama sio NS7, Nurmak Pro haiko ivo.huyo dem naona anatumia numark pro anaonekana ana mix za hatari hatari ila hanishindi huyo mzeebaba haha
Wakenya wanaitaga "kugonganisha" kweli unaweza kua na gig nzuri ila beatmatching ikakushinda ukapiga maembe.
huyo dem naona anatumia numark pro anaonekana ana mix za hatari hatari ila hanishindi huyo mzeebaba haha