Paul Kijoka
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 1,399
- 255
Rafiki yangu aliniambia kuwa alipokuwa chuo alikuwa akienda kujipatia huduma kwa Sewa Buguruni. Alinieleza kuwa kila alipokuwa akienda alikuta wanachuo wengi nao wakipata huduma mbali mbali mbali hapo hapo au take away.Akasema kuwa walikuwemo pia wanachuo wa kike wakijipatia mapesa. Nilishangaa sana.Natamani niende nifanye research participatory.