Kumbe Bi Siti Mwinyi Ndo Mmiliki Wa Mv SPICE ISLANDER,

Uhusiano wa kukufanya uwe na hasira kwa kuambiwa mmiliki wa meli na magamba upo wapi? zaidi ya roho mbaya uliyonayo? tuwe wakweli nchi hata siku moja haitajengwa kwa mawazo ya ajabu kiasi hiki
Nchi ishameguka unakumbuka kujengwa,We utakuwa magamba tu tena original,

Magamba mmesha ibomoa nchi kwa siasa uchwara na za kulindana.
Magamba nchi hii mmeiweka Rehani kwenye mikono ya wezi.

Magamba mmeifanya nchi hii kupumulia matamvua mithili ya samaki.

Ukwapi huo ujengwaji unaoutaka wewe,kama kila siku nchi inanyonywa na wanyonyaji wazalendo.
 
Kama ni hivyo basi Dr. Hussein Mwinyi amejitahidi sana kuji-camouflage! ame-keep low profile kumbe hatofautiani na Riz1!!
Hawatofautiani. Huyu ana bonge la apartment buildings Upanga na Mikocheni. Aliyapataje?
 
Kwa huyu mama tuhuma hizi ni za mtoto.Mimi nyingine niliposikia matumbo yaliuma.Itoshe kusema kwamba sikuamini binadamu anaweza kufanya mambo kama hayo.
 
hivi hiyo meli ilikuwa na insurance? Je, waliofiwa wanalipwa fidia kiasi gani? Ama ndio pata potea?
 
hivi hiyo meli ilikuwa na insurance? Je, waliofiwa wanalipwa fidia kiasi gani? Ama ndio pata potea?
Insurance Ilikuwepo nadhani watakuwa Alliance kama sikosei lakini kuna Conditions zake za kulipa.

Sheria za Marine lazima zifuatwe watalipa kiasi kinachostahili tu
Zengine watalipa Wamiliki tatizo kama kuna harufu ya kimagamba hapo ujue kutakuwa na utata Arabuni Mmiliki hunyongwa
 
mungu anaonyesha.mali zimewajaa kupita kipimo.hata ghorofa jipya pale kijitonyama huenda likabomoka.
 

Kwa hali ya kawaida, ningekubaliana na wewe kwa asilimia 100. Ila kwa kuangalia hali ya Tanzania na mifano mingi niijuayo, naona umepotoka kidogo.

Chenge alipoigonga ila bajaji na kuuwa watu wawili Oysterbay, jaribio la kwanza lilikuwa kumsukumia kesi dereva wa bajaji na mmliki wake. Ilipokwama, bado wakamshitaki mmiliki kwa kutotoa taarifa za wapi alipo dereva wake.

Ajali ya treni Dodoma/Singida miaka ya 90 walipomkosa mmoja wa watuhumiwa, walishikwa mke wake na mdogo wake kusaidia uchunguzi.

Miaka pia ya late 80s baada ya msafara wa Salim A. Salim (akiwa Waziri wa Ulinzi au Waziri Mkuu) kukoswakoswa na daladala UWT road, alishikwa dereva, konda, utingo na mmiliki wake. Mmiliki alifuatwa Morogoro.

Kuna kesi nyingi sana kama hizo ambazo wamiliki wamerundikwa ndani kwa kosa la kuwa 'wamiliki' wa vyombo vya usafiri ambavyo vimepewa vibali na mamlaka zinazosimamia usafiri huo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…