zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,875
- 1,216
- Thread starter
- #41
Nchi ishameguka unakumbuka kujengwa,We utakuwa magamba tu tena original,Uhusiano wa kukufanya uwe na hasira kwa kuambiwa mmiliki wa meli na magamba upo wapi? zaidi ya roho mbaya uliyonayo? tuwe wakweli nchi hata siku moja haitajengwa kwa mawazo ya ajabu kiasi hiki
Magamba mmesha ibomoa nchi kwa siasa uchwara na za kulindana.
Magamba nchi hii mmeiweka Rehani kwenye mikono ya wezi.
Magamba mmeifanya nchi hii kupumulia matamvua mithili ya samaki.
Ukwapi huo ujengwaji unaoutaka wewe,kama kila siku nchi inanyonywa na wanyonyaji wazalendo.