Vipi kuhusu kuandaliwa Cheque na DAVID CAMEROON?Hivi mtu baba'ke kuwa mpishi ni tusi?
Clouds walivyo ma...... huenda vichwani mwao walidhania wanamchafua kweli kile kiredio na shangaa sana sijui kwanini msichana wangu wa kazi hachoki kukisikiliza??
Hivi mtu baba'ke kuwa mpishi ni tusi?
Kama baba ako ni mpishi, unaonekana hukuzaliwa Ocead road, wala hukukulia upanga au sea view, haujui dar ilivyokuwa zamani na wala hukusoma Bunge, ostabei au olimpio primary skuli.
Kwa hiyo umetokea kijijini, ukikohoa unatoa kimbunga hatukutaki hapa mjini rudi kwenu ukachunge na u dokta wako.
Mmmh. Ukisikiliza clds, utagundua mjini kuna mambo na kuna watu na vyatu!
Vipi kuhusu kuandaliwa Cheque na DAVID CAMEROON?
Matusi hayajengi hata kama mmeingia kwa vivuli humu ndani
matusi ni kiwango cha juu kabisa cha kuonyesha ni kiasi gani
mtu amekosa busara. Jirekebisheni!
na wewe baba yako alikuwa nani?
Matusi hayajengi hata kama mmeingia kwa vivuli humu ndani
matusi ni kiwango cha juu kabisa cha kuonyesha ni kiasi gani
mtu amekosa busara. Jirekebisheni!
Great Thinkes..
Leo nimemsikia Dk.Slaa akielezea kwa ufupi maisha yake pamoja na miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika.
Anasema wakati wa ukoloni baba yake alikuwa mpishi wa DC.
Source; Clouds fm
inakuhuu!!!punda weee!!