donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,130
I thought he had a twin.
Nooo nagoma hakuna ukweli
Nyota yako imechuchumaa kama vyura wa Kihansi
Acha uchawi wako! mpunga nyota
wewe! askofu hakuongoza kanisa kinajimu bali kwa nguvu za Roho mtakatifu. koma tabia hii. katika Jina lipitalo majina yote la Yesu kristo wa Nazereti.
Kwa nijuavyo usomaji wa nyota hauna nafasi katika imani ya kikristo! hatuambiwi wale mamajusi walikuwa wataalamu wa kusoma nyota za 'mapacha, au gemini'. wataalamu wa nyota haina maana ya ubashiri wa jinsi hii. Hii ni kazi ya Lucifa na jeshi lake
mix with yours
Niwie radhi kwa kukuelewa vibaya. Labda ndio mwisho wa uelewa wangu.Umenielewa vibaya kaka, nimemaanisha kuwa watu wa Gemini huwa strong sana katika kazi au mambo wanayo yafanya, mambo hayo yanaweza kuwa ni michezo, uigizaji, muziki, biashara, huduma ya kiroho nakadhalika. Hii ni mifano michache:
i. Tupac Shakur & Notorious B.I.G a.k.a BIggie Smalls : WAFALME WA HIPHOP DUNIANI.
ii. Reginald Mengi
iii. George Bush wa pili... List ni ndefu sana.
Ndio maana chochote kile akifanyacho mtu wa nyota ya mapacha huwa kinafanikiwa sana iwe ni kizuri ama kibaya.
Narudia tena acha uchawi! hata kama hujaanza kuloga ila una elements za kichawi ndani yako na ndo maana imekuwa rahisi kwako kuyahusisha mafanikio ya late Arch Bishop na mambo ya nyota badala ya kuyahusisha na uweza wa kiMungu. kama nilivyosema mamajusi hawakua watumishi wa Mungu! nikama yule binti mwenye pepo aliyekua akinena mema juu ya Petro na Yohana ili kuonesha ulimwengu kwamba yupo atawalae vyote amezaliwa. Wapi pengine ulimsikia Yesu akisema kuhusu mamajusi na mambo ya nyota? unahitaji ukombozi la sivyo utaiharibu imani yako nzuri kwa Yesu.