Kumbe askofu kulola alikuwa mapacha?

Kumbe askofu kulola alikuwa mapacha?

Amen. Ashindwe na alegee kabisa!
Yakiwa yamebakia masaa machache kabla ya kuhifadhiwa kwa mwili wa mpendwa wetu,Muasisi wa Makanisa na Huduma za wokovu nchini Tanzania, Marehemu Askofu . Dk. Moses Kulola, imefahamika kuwa Mwanajeshi huyu wa kiroho aliyetumikia Jeshi la BWANA YESU katika kipindi chote cha maisha yake ya hapa duniani alikuwa ni mtu wa nyota ya MAPACHA ama GEMINI. Kinyota , watu waliozaliwa kati ya MEI 20 na JUNI 21 ni watu wa NYOTA YA GEMINI. Imefahamika kuwa Marehemu Askofu Kulola alizaliwa tarehe 02 JUNI 1930. SIFA KUU ya watu wa NYOTA ya GEMINI, huwa ni kufanya mambo makubwa sana na ya kipekee sana iwe ni katika michezo, sanaa, uongozi, utumishi,elimu nakadhalika. . Maisha ya watu wa mapacha huongozwa (kwa kujua ama kutokujua ) na nishati " energy " inayo patikana kwenye andiko linalopatikana kwenye kitabu cha ECCLESIASTES 9:10

" Whatever your hand finds to do, do it with all your might, for in the realm of the dead, where you are going, there is neither working nor planning nor knowledge nor wisdom. ".

Ndio maana chochote kile akifanyacho mtu wa nyota ya mapacha huwa kinafanikiwa sana iwe ni kizuri ama kibaya. Utafiti unaonyesha kuwa , karibu katika kila eneo la maisha ya mwanadamu kuanzia kwenye michezo, uongozi,sanaa, biashara, elimu nakadhalika , kuna mtu wa nyota ya mapacha ambaye anachukuliwa kuwa wa kipekee sana katika eneo hilo husika...

N.B: Ninaomba radhi kwa nitakao kuwa nime wakwaza kwa kulihusisha jina la Marehemu Askofu Kulola na mambo ya nyota, ila kwa wasio fahamu, elimu ya nyota ipo toka enzi za Pontyo wa Pilato, hata wale Mamajusi walitumia nyota kugundua kuwa Mfalme Yesu amezaliwa.

MWENYEZI MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU ASKOFU KULOLA MAHALI PEMA PEPONI, NA AWAFARIJI WAFIWA. AMINA
 
Wewe mganga/mnajimu MAJIDAI omba mods wafute huu uzi wako wakichawi.

Ambapo wengine tukiwa na majonzi wewe unamuhusisha marehemu askofu wetu
Yakiwa yamebakia masaa machache kabla ya kuhifadhiwa kwa mwili wa mpendwa wetu,Muasisi wa Makanisa na Huduma za wokovu nchini Tanzania, Marehemu Askofu . Dk. Moses Kulola, imefahamika kuwa Mwanajeshi huyu wa kiroho aliyetumikia Jeshi la BWANA YESU katika kipindi chote cha maisha yake ya hapa duniani alikuwa ni mtu wa nyota ya MAPACHA ama GEMINI. Kinyota , watu waliozaliwa kati ya MEI 20 na JUNI 21 ni watu wa NYOTA YA GEMINI. Imefahamika kuwa Marehemu Askofu Kulola alizaliwa tarehe 02 JUNI 1930. SIFA KUU ya watu wa NYOTA ya GEMINI, huwa ni kufanya mambo makubwa sana na ya kipekee sana iwe ni katika michezo, sanaa, uongozi, utumishi,elimu nakadhalika. . Maisha ya watu wa mapacha huongozwa (kwa kujua ama kutokujua ) na nishati " energy " inayo patikana kwenye andiko linalopatikana kwenye kitabu cha ECCLESIASTES 9:10

" Whatever your hand finds to do, do it with all your might, for in the realm of the dead, where you are going, there is neither working nor planning nor knowledge nor wisdom. ".

Ndio maana chochote kile akifanyacho mtu wa nyota ya mapacha huwa kinafanikiwa sana iwe ni kizuri ama kibaya. Utafiti unaonyesha kuwa , karibu katika kila eneo la maisha ya mwanadamu kuanzia kwenye michezo, uongozi,sanaa, biashara, elimu nakadhalika , kuna mtu wa nyota ya mapacha ambaye anachukuliwa kuwa wa kipekee sana katika eneo hilo husika...

N.B: Ninaomba radhi kwa nitakao kuwa nime wakwaza kwa kulihusisha jina la Marehemu Askofu Kulola na mambo ya nyota, ila kwa wasio fahamu, elimu ya nyota ipo toka enzi za Pontyo wa Pilato, hata wale Mamajusi walitumia nyota kugundua kuwa Mfalme Yesu amezaliwa.

MWENYEZI MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU ASKOFU KULOLA MAHALI PEMA PEPONI, NA AWAFARIJI WAFIWA. AMINA
 
Ajabbu kweli peleka uchawi wako kulr
Yakiwa yamebakia masaa machache kabla ya kuhifadhiwa kwa mwili wa mpendwa wetu,Muasisi wa Makanisa na Huduma za wokovu nchini Tanzania, Marehemu Askofu . Dk. Moses Kulola, imefahamika kuwa Mwanajeshi huyu wa kiroho aliyetumikia Jeshi la BWANA YESU katika kipindi chote cha maisha yake ya hapa duniani alikuwa ni mtu wa nyota ya MAPACHA ama GEMINI. Kinyota , watu waliozaliwa kati ya MEI 20 na JUNI 21 ni watu wa NYOTA YA GEMINI. Imefahamika kuwa Marehemu Askofu Kulola alizaliwa tarehe 02 JUNI 1930. SIFA KUU ya watu wa NYOTA ya GEMINI, huwa ni kufanya mambo makubwa sana na ya kipekee sana iwe ni katika michezo, sanaa, uongozi, utumishi,elimu nakadhalika. . Maisha ya watu wa mapacha huongozwa (kwa kujua ama kutokujua ) na nishati " energy " inayo patikana kwenye andiko linalopatikana kwenye kitabu cha ECCLESIASTES 9:10

" Whatever your hand finds to do, do it with all your might, for in the realm of the dead, where you are going, there is neither working nor planning nor knowledge nor wisdom. ".

Ndio maana chochote kile akifanyacho mtu wa nyota ya mapacha huwa kinafanikiwa sana iwe ni kizuri ama kibaya. Utafiti unaonyesha kuwa , karibu katika kila eneo la maisha ya mwanadamu kuanzia kwenye michezo, uongozi,sanaa, biashara, elimu nakadhalika , kuna mtu wa nyota ya mapacha ambaye anachukuliwa kuwa wa kipekee sana katika eneo hilo husika...

N.B: Ninaomba radhi kwa nitakao kuwa nime wakwaza kwa kulihusisha jina la Marehemu Askofu Kulola na mambo ya nyota, ila kwa wasio fahamu, elimu ya nyota ipo toka enzi za Pontyo wa Pilato, hata wale Mamajusi walitumia nyota kugundua kuwa Mfalme Yesu amezaliwa.

MWENYEZI MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU ASKOFU KULOLA MAHALI PEMA PEPONI, NA AWAFARIJI WAFIWA. AMINA
 
aisee nilihisi sheikh yahya amekufa na mambo yake kumbe bado mpo mkuu nipe jina lako halisi nimwombe GWAJIMA AKUFANYIE KAZI INFACT KA,MA NYIE AKUNA THAMANI YA KUISHI DUNIANI NA MAMBO KAMA HAYO KAMA UAMINI ULIZA NDUG ZA SHEIKH YAHYA WALIAMBIWA LINI ANANGOKA


Yakiwa yamebakia masaa machache kabla ya kuhifadhiwa kwa mwili wa mpendwa wetu,Muasisi wa Makanisa na Huduma za wokovu nchini Tanzania, Marehemu Askofu . Dk. Moses Kulola, imefahamika kuwa Mwanajeshi huyu wa kiroho aliyetumikia Jeshi la BWANA YESU katika kipindi chote cha maisha yake ya hapa duniani alikuwa ni mtu wa nyota ya MAPACHA ama GEMINI. Kinyota , watu waliozaliwa kati ya MEI 20 na JUNI 21 ni watu wa NYOTA YA GEMINI. Imefahamika kuwa Marehemu Askofu Kulola alizaliwa tarehe 02 JUNI 1930. SIFA KUU ya watu wa NYOTA ya GEMINI, huwa ni kufanya mambo makubwa sana na ya kipekee sana iwe ni katika michezo, sanaa, uongozi, utumishi,elimu nakadhalika. . Maisha ya watu wa mapacha huongozwa (kwa kujua ama kutokujua ) na nishati " energy " inayo patikana kwenye andiko linalopatikana kwenye kitabu cha ECCLESIASTES 9:10

" Whatever your hand finds to do, do it with all your might, for in the realm of the dead, where you are going, there is neither working nor planning nor knowledge nor wisdom. ".

Ndio maana chochote kile akifanyacho mtu wa nyota ya mapacha huwa kinafanikiwa sana iwe ni kizuri ama kibaya. Utafiti unaonyesha kuwa , karibu katika kila eneo la maisha ya mwanadamu kuanzia kwenye michezo, uongozi,sanaa, biashara, elimu nakadhalika , kuna mtu wa nyota ya mapacha ambaye anachukuliwa kuwa wa kipekee sana katika eneo hilo husika...

N.B: Ninaomba radhi kwa nitakao kuwa nime wakwaza kwa kulihusisha jina la Marehemu Askofu Kulola na mambo ya nyota, ila kwa wasio fahamu, elimu ya nyota ipo toka enzi za Pontyo wa Pilato, hata wale Mamajusi walitumia nyota kugundua kuwa Mfalme Yesu amezaliwa.

MWENYEZI MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU ASKOFU KULOLA MAHALI PEMA PEPONI, NA AWAFARIJI WAFIWA. AMINA
 
uhitaji kuwa mchafu ili watu wajue wewe ni chizi!
 
Kumbe ulijua unaandika upuuz ndo mana ukatanguliza msamaha?Sasa kama ni kwel vipi kwa wenye nyota hiyo na hawana lolote kati ya ulotaja?Hayo mambo yanawafaa washirikina kama wewe na halina lolote kwa wanao mwamin Mungu.Mtu anaweza kuwa maarufu kwa mpango wa Mungu na jitihada ktk lile analofanya na siyo nyota.

Yakiwa yamebakia masaa machache kabla ya kuhifadhiwa kwa mwili wa mpendwa wetu,Muasisi wa Makanisa na Huduma za wokovu nchini Tanzania, Marehemu Askofu . Dk. Moses Kulola, imefahamika kuwa Mwanajeshi huyu wa kiroho aliyetumikia Jeshi la BWANA YESU katika kipindi chote cha maisha yake ya hapa duniani alikuwa ni mtu wa nyota ya MAPACHA ama GEMINI. Kinyota , watu waliozaliwa kati ya MEI 20 na JUNI 21 ni watu wa NYOTA YA GEMINI. Imefahamika kuwa Marehemu Askofu Kulola alizaliwa tarehe 02 JUNI 1930. SIFA KUU ya watu wa NYOTA ya GEMINI, huwa ni kufanya mambo makubwa sana na ya kipekee sana iwe ni katika michezo, sanaa, uongozi, utumishi,elimu nakadhalika. . Maisha ya watu wa mapacha huongozwa (kwa kujua ama kutokujua ) na nishati " energy " inayo patikana kwenye andiko linalopatikana kwenye kitabu cha ECCLESIASTES 9:10

" Whatever your hand finds to do, do it with all your might, for in the realm of the dead, where you are going, there is neither working nor planning nor knowledge nor wisdom. ".

Ndio maana chochote kile akifanyacho mtu wa nyota ya mapacha huwa kinafanikiwa sana iwe ni kizuri ama kibaya. Utafiti unaonyesha kuwa , karibu katika kila eneo la maisha ya mwanadamu kuanzia kwenye michezo, uongozi,sanaa, biashara, elimu nakadhalika , kuna mtu wa nyota ya mapacha ambaye anachukuliwa kuwa wa kipekee sana katika eneo hilo husika...

N.B: Ninaomba radhi kwa nitakao kuwa nime wakwaza kwa kulihusisha jina la Marehemu Askofu Kulola na mambo ya nyota, ila kwa wasio fahamu, elimu ya nyota ipo toka enzi za Pontyo wa Pilato, hata wale Mamajusi walitumia nyota kugundua kuwa Mfalme Yesu amezaliwa.

MWENYEZI MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU ASKOFU KULOLA MAHALI PEMA PEPONI, NA AWAFARIJI WAFIWA. AMINA
 
uhitaji kuwa mchafu ili watu wajue wewe ni chizi!
Yakiwa yamebakia masaa machache kabla ya kuhifadhiwa kwa mwili wa mpendwa wetu,Muasisi wa Makanisa na Huduma za wokovu nchini Tanzania, Marehemu Askofu . Dk. Moses Kulola, imefahamika kuwa Mwanajeshi huyu wa kiroho aliyetumikia Jeshi la BWANA YESU katika kipindi chote cha maisha yake ya hapa duniani alikuwa ni mtu wa nyota ya MAPACHA ama GEMINI. Kinyota , watu waliozaliwa kati ya MEI 20 na JUNI 21 ni watu wa NYOTA YA GEMINI. Imefahamika kuwa Marehemu Askofu Kulola alizaliwa tarehe 02 JUNI 1930. SIFA KUU ya watu wa NYOTA ya GEMINI, huwa ni kufanya mambo makubwa sana na ya kipekee sana iwe ni katika michezo, sanaa, uongozi, utumishi,elimu nakadhalika. . Maisha ya watu wa mapacha huongozwa (kwa kujua ama kutokujua ) na nishati " energy " inayo patikana kwenye andiko linalopatikana kwenye kitabu cha ECCLESIASTES 9:10

" Whatever your hand finds to do, do it with all your might, for in the realm of the dead, where you are going, there is neither working nor planning nor knowledge nor wisdom. ".

Ndio maana chochote kile akifanyacho mtu wa nyota ya mapacha huwa kinafanikiwa sana iwe ni kizuri ama kibaya. Utafiti unaonyesha kuwa , karibu katika kila eneo la maisha ya mwanadamu kuanzia kwenye michezo, uongozi,sanaa, biashara, elimu nakadhalika , kuna mtu wa nyota ya mapacha ambaye anachukuliwa kuwa wa kipekee sana katika eneo hilo husika...

N.B: Ninaomba radhi kwa nitakao kuwa nime wakwaza kwa kulihusisha jina la Marehemu Askofu Kulola na mambo ya nyota, ila kwa wasio fahamu, elimu ya nyota ipo toka enzi za Pontyo wa Pilato, hata wale Mamajusi walitumia nyota kugundua kuwa Mfalme Yesu amezaliwa.

MWENYEZI MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU ASKOFU KULOLA MAHALI PEMA PEPONI, NA AWAFARIJI WAFIWA. AMINA
 
Upuuzi mtupu!
Yakiwa yamebakia masaa machache kabla ya kuhifadhiwa kwa mwili wa mpendwa wetu,Muasisi wa Makanisa na Huduma za wokovu nchini Tanzania, Marehemu Askofu . Dk. Moses Kulola, imefahamika kuwa Mwanajeshi huyu wa kiroho aliyetumikia Jeshi la BWANA YESU katika kipindi chote cha maisha yake ya hapa duniani alikuwa ni mtu wa nyota ya MAPACHA ama GEMINI. Kinyota , watu waliozaliwa kati ya MEI 20 na JUNI 21 ni watu wa NYOTA YA GEMINI. Imefahamika kuwa Marehemu Askofu Kulola alizaliwa tarehe 02 JUNI 1930. SIFA KUU ya watu wa NYOTA ya GEMINI, huwa ni kufanya mambo makubwa sana na ya kipekee sana iwe ni katika michezo, sanaa, uongozi, utumishi,elimu nakadhalika. . Maisha ya watu wa mapacha huongozwa (kwa kujua ama kutokujua ) na nishati " energy " inayo patikana kwenye andiko linalopatikana kwenye kitabu cha ECCLESIASTES 9:10

" Whatever your hand finds to do, do it with all your might, for in the realm of the dead, where you are going, there is neither working nor planning nor knowledge nor wisdom. ".

Ndio maana chochote kile akifanyacho mtu wa nyota ya mapacha huwa kinafanikiwa sana iwe ni kizuri ama kibaya. Utafiti unaonyesha kuwa , karibu katika kila eneo la maisha ya mwanadamu kuanzia kwenye michezo, uongozi,sanaa, biashara, elimu nakadhalika , kuna mtu wa nyota ya mapacha ambaye anachukuliwa kuwa wa kipekee sana katika eneo hilo husika...

N.B: Ninaomba radhi kwa nitakao kuwa nime wakwaza kwa kulihusisha jina la Marehemu Askofu Kulola na mambo ya nyota, ila kwa wasio fahamu, elimu ya nyota ipo toka enzi za Pontyo wa Pilato, hata wale Mamajusi walitumia nyota kugundua kuwa Mfalme Yesu amezaliwa.

MWENYEZI MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU ASKOFU KULOLA MAHALI PEMA PEPONI, NA AWAFARIJI WAFIWA. AMINA
 
Mfyuuuuuuu

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Yakiwa yamebakia masaa machache kabla ya kuhifadhiwa kwa mwili wa mpendwa wetu,Muasisi wa Makanisa na Huduma za wokovu nchini Tanzania, Marehemu Askofu . Dk. Moses Kulola, imefahamika kuwa Mwanajeshi huyu wa kiroho aliyetumikia Jeshi la BWANA YESU katika kipindi chote cha maisha yake ya hapa duniani alikuwa ni mtu wa nyota ya MAPACHA ama GEMINI. Kinyota , watu waliozaliwa kati ya MEI 20 na JUNI 21 ni watu wa NYOTA YA GEMINI. Imefahamika kuwa Marehemu Askofu Kulola alizaliwa tarehe 02 JUNI 1930. SIFA KUU ya watu wa NYOTA ya GEMINI, huwa ni kufanya mambo makubwa sana na ya kipekee sana iwe ni katika michezo, sanaa, uongozi, utumishi,elimu nakadhalika. . Maisha ya watu wa mapacha huongozwa (kwa kujua ama kutokujua ) na nishati " energy " inayo patikana kwenye andiko linalopatikana kwenye kitabu cha ECCLESIASTES 9:10

" Whatever your hand finds to do, do it with all your might, for in the realm of the dead, where you are going, there is neither working nor planning nor knowledge nor wisdom. ".

Ndio maana chochote kile akifanyacho mtu wa nyota ya mapacha huwa kinafanikiwa sana iwe ni kizuri ama kibaya. Utafiti unaonyesha kuwa , karibu katika kila eneo la maisha ya mwanadamu kuanzia kwenye michezo, uongozi,sanaa, biashara, elimu nakadhalika , kuna mtu wa nyota ya mapacha ambaye anachukuliwa kuwa wa kipekee sana katika eneo hilo husika...

N.B: Ninaomba radhi kwa nitakao kuwa nime wakwaza kwa kulihusisha jina la Marehemu Askofu Kulola na mambo ya nyota, ila kwa wasio fahamu, elimu ya nyota ipo toka enzi za Pontyo wa Pilato, hata wale Mamajusi walitumia nyota kugundua kuwa Mfalme Yesu amezaliwa.

MWENYEZI MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU ASKOFU KULOLA MAHALI PEMA PEPONI, NA AWAFARIJI WAFIWA. AMINA
 
Mods naomba mnisaidie kuutoa huu uzi, sikutarajia kama watu wangeuelewa vibaya kiasi hiki. Kwa nilio wakwaza, naomba mnisamehe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom