Ni mtu ambaye nilikua namuaandaa kua wife nilimpeleka mpaka nyumbani nae kanipeleka kwao so sio jambo la mzaha mkuu
Tusidanganyane, hiyo ni kazi ambayo mtu anaifanya baada ya mambo mengine ya msingi yameshindikana! Hebu tuambie, kama wewe ni mwana-mme, utajivunia kuoa Bar-maid?
Sasa kama maisha mengine yameshindikana si bora awe bar maid kuliko akawe changudoa? Mie mwanamke, lakini unadhani nitamkataa mwanaume ambae ana biashara ya bar ama anaendesha jiko la nyama choma? Kwa sababu kwa level yangu naweza binafsi nisiwe nauza bar lakini naendesha bar. Kuna tofauti? Mwanamke ama mwanaume ukijiweka vulnerable utatumiwa na yeyote. Kwani hamna bar maid ambae hatongozeki? Asprin njoo unijibu hii, plz. Nijifunze.
bomu hilo.ila kazi ni kazi wapo wauza bar wanajiheshimu sana tu.kuna muuza bar mmoja mango garden ni mdada anajiheshimu na yupo pale miaka mingi tu
Hivi best, kuuza bar sio ajira sawa na nyingine?