Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,479
- 9,548
UD kuna wakufunzi wa kichina?
Amekwambia anasoma UD?????
UD kuna wakufunzi wa kichina?
Hivi best, kuuza bar sio ajira sawa na nyingine?
Hizi Masters zingine sijui mnasomaga za nini yaani kama hazisaidii kuchanganua mambo!
Hivi best, kuuza bar sio ajira sawa na nyingine?
inategemea ni Masters ya nn! Teh teh
Amekwambia anasoma UD?????
Kiswahili chako kibovu sana!!!Nilikua na mahusiano ya kimapenzi na mwanamke M1 kutoka kijijini ambako tulikua tukiishi huyo mpnz wangu alikua akiniaga mara kwa mara kua anenda Jijini Dar kumsalimia dada yake na pia alikua akirudi kijiji na kukaa muda wa miezi miwili au mitatu!! kisha anarejea tena DSM nikimuuliza kua anfanya kazi gani alikua ananiambia anamsaidia dada yake kuuza mgahawa. kitu cha ajabu nikihoji sana kuhusu kazi yake alikua anakasirika sana.
kwa bahati nzuri nilipata nafasi ya kuja kusoma masomo ya juu yaani shahada ya Uzamiri sikutaka kumtafuta kwani nilikua busy sana na masomo lakini kitu cha ajabu alinipigia simu na kunieleza kua amepata taarifa kua nipo DSM aliniomba tuonane tulipo onana akaniambia kua ananiomba pesa kwa ajili ya kulipia pango la nyumba nilishangaa sana kusikia hivyo nilimuuliza kwani nyumbani kwa dada yake amehama akaniambia kua shemeji yake anamtongoza ndio maana ameamua kuondoka na kujitegemea yeye. nilimshauri arudi kijijini kwani kuna nafasi kubwa ya malazi pia na fulsa nyingi za kujiajiri alikataa na kuniambia kua na mimi nimekimbia nini kule kijijini nilimweleza kua mimi nipo hapa kwa muda tu then nitarudi kijijini nikimaliza masomo yangu. nilipomweleza hivyo akaniambia tusitafutane tena na kuniambia mimi ni mshamba nikamjibu kua mi sina tatizo. ukapita muda kama wa mwezi m1 akanitumia ujumbe kua ananipenda na wala hajisikii vzuri kuachana mimi na ananiomba nionane.
Nilikubali kwasababu nilikua nampenda pia tulipoonana akanielezea jinsi maisha yanavyomsumbua hapa jiji DSM nilimuuliza anafanya kazi gani hakutaka kuniambia nilipombana kwa kushawishi aliniambia yeye ni Bar attender nilihuzunika sana kufanya kazi hiyo wakati anafursa nyingi za kujiajiri ambazo ni salama hasa kwa afya yake na lkn yeye hakuonesha wasiwasi wowote. na aliniambia hana mpango wa kurudi kijijini nilipofanya uchunguzi kumbe aliolewa na kua mke wa pili yaani nyumba ndogo. akamtibua huyo jamaa aliemuweka ndani yule jamaa akamkimbia.
sasa ananiomba turudiane wakati nikimwambia tukaishi kijijini yeye hataki anataka tuishi jijini na pia anataka kuendelea na hiyo kazi yake ambayo mimi siitaki.
kitu kingine nikimwambia tukapime yeye hataki hata kusikia suala la kwenda kupima hata wiki inaweza kuisha bila kuwasiliana nae nikimpigia hapokei.
naomba ushauri wana JF.
Tafadhari msitukane!!!!!!!!!!!!!