Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 98,134
- 143,697
Alinifurahisha mno alipowajibu waturuki mbele ya Rais wao
kuwa Obama hana mamlaka ya kuamuru kum deport yeyote
hayo masuala ni supreme court ndio inaamua......
nilitamani Magufuli angejifunza kitu hapo
Na ni kweli.
Ndo maana watu wanaosema eti Trump atafukuza wahamiaji wote [jambo ambalo si kweli na hajawahi kulisema] huwa nawahoji kama wanajua jinsi Marekani inavyotawaliwa.
Rais wa Marekani hana nguvu kivile.
Sisi huku hatuulizi lolote ambalo Rais anasema
vitu vingine pia hana mamlaka navyo ila anaachiwa apore mamlaka
hivi unajua Magufuli ndo Rais wa kwanza kuteua Ma DAS na wengineo wilayani?
Na ndo maana ulimsikia Magu kule Zenji akidokeza kuwa angekuwa yeye ndo kagandishwa na Maalim basi Maalim asingepata stahiki zake.
Hovyo kabisa.
Kabisa kaka kama ulikua moyoni kwangu ila sina hakika magu uwa anafuatilia hayiAlinifurahisha mno alipowajibu waturuki mbele ya Rais wao
kuwa Obama hana mamlaka ya kuamuru kum deport yeyote
hayo masuala ni supreme court ndio inaamua......
nilitamani Magufuli angejifunza kitu hapo
Nasubiri pesa mpya ziingie mtaaniSasa hapo utashangaa Attorney General anakuja kumtetea
yaani hii nchi ukishangaa hili linakuja hili
Acha UCHOCHEZI.Alinifurahisha mno alipowajibu waturuki mbele ya Rais wao
kuwa Obama hana mamlaka ya kuamuru kum deport yeyote
hayo masuala ni supreme court ndio inaamua......
nilitamani Magufuli angejifunza kitu hapo
Lol! Hahahahahaha labda Babu Biden alipatwa na mfadhaiko wa dushe al maarufu kwa mfadhaiko wa akili.
Joe Biden huwa ananifurahisha sana.
Jamaa ni kama mchizi flani hivi.
Hebu ona hilo kumbatio...Hillary kwa kutumia lugha ya mwili anasema kabisa 'Joe imetosha, niachie basi'...
Lakini Joe bado kang'ang'ania tu.
Hahahaaaa creepy old man.
Western cultureHahahahaaa hii ilikuwa mapokezi ya kikazi sio...? Ingekuwaje Clinton angekuwepo hapo.... labda angechukulia kama utani au labda angekasirika kwa kuonesha wivu hahahahah. Maana huyo Joe alishikilia maeneo ya pembeni mwa matiti..... panakuwaga na joto joto tamu hapo...... yawezekana madam alikuwa kwenye heat matokeo yake Joe akawa hataki kuliachia lile joto joto. ....
Kasie.
Hahahahaaa hii ilikuwa mapokezi ya kikazi sio...? Ingekuwaje Clinton angekuwepo hapo.... labda angechukulia kama utani au labda angekasirika kwa kuonesha wivu hahahahah. Maana huyo Joe alishikilia maeneo ya pembeni mwa matiti..... panakuwaga na joto joto tamu hapo...... yawezekana madam alikuwa kwenye heat matokeo yake Joe akawa hataki kuliachia lile joto joto. ....
Kasie.
Nataka nikukumbatie hivyo na wewe..
Ooohhh woow.... unafikiri mie ntaganduka nikwambie tayari.... hiyo mikono yako ... ile misuli itavokuwa imezunguka mgongoni kwangu kunibana kifuani kwako hoooh utakuta ni tabasamu tuu limejaa kifuani pako. ... naanzaje kujinasua kwenye utamu wa kumbatio la Nyani.....
Mie naomba kumbatio liwe zaidi ya hilo. ..
Unamtia majaribuni mtoto wa mwanamke mwenzio, sio?.[emoji3]