Kumamoto University inashikilia nafasi ya 19

SNAP J

JF-Expert Member
Dec 26, 2013
7,106
8,043
Ni weekend nyingine njema, jumamosi murua kabisa iliyotulia ya tarehe kumi na moja mwezi wa pili ya mwaka 2017.

Ni matumaini yangu muu wazima wa afya wana jamii forum wenzangu.

Bila kupoteza muda wala kuwachosha leo hii katika pitapita zangu mtanandaoni nikapata nafasi ya kuperuzi website moja maarufu inayofahamika kwa jina la webometric ambapo niliweza kukuta ukurasa uliotoa listi ya vyuo bora kabisa nchini Japan.

University of Tokyo ndio ipo kileleni ambayo kidunia inashika nafasi ya 48, ikifuatiwa na Kyoto university(kudunia ni ya 82), na nafasi ya tatu inashikiliwa osaka university(ya 165 ulimwenguni).
Mpaka naimaliza kumi bora, sikuona kumamoto.

Kuja kufika ishirini bora ndio naikuta kumamoto university katika nafasi ya kumi na tisa ambayo imeshikilia nafasi ya 760 duniani.

Moja kati ya vyuo navyotamani kuja kusoma hapo baadaye ni kumamoto kwani kinatoa elimu bora ambayo hapa nchini Tanzania hakuna hata chuo kinachoikaribia ingawaje kimeshuka kutoka katika kumi bora na kushikia nafasi ya 19.


Kumamoto-1.jpg

Makumbusho kumamoto


C-Lecture-hall-3.jpg

Moja ya lecture hall kumamoto


map.jpg

Ramani (jengo namba 22) ikionyesha Uchimura laboratory iliyopo katika viunga vya kumamoto.


kumamoto1.png

Maisha kumamoto



Bofya HAPA ujionee mwenyewe Kumamoto.
 
Ni weekend nyingine njema, jumamosi murua kabisa iliyotulia ya tarehe kumi na moja mwezi wa pili ya mwaka 2017.

Ni matumaini yangu muu wazima wa afya wana jamii forum wenzangu.

Bila kupoteza muda wala kuwachosha leo hii katika pitapita zangu mtanandaoni nikapata nafasi ya kuperuzi website moja maarufu inayofahamika kwa jina la webometric ambapo niliweza kukuta ukurasa uliotoa listi ya vyuo bora kabisa nchini Japan.

University of Tokyo ndio ipo kileleni ambayo kidunia inashika nafasi ya 48, ikifuatiwa na Kyoto university(kudunia ni ya 82), na nafasi ya tatu inashikiliwa osaka university(ya 165 ulimwenguni).
Mpaka naimaliza kumi bora, sikuona kumamoto.

Kuja kufika ishirini bora ndio naikuta kumamoto university katika nafasi ya kumi na tisa ambayo imeshikilia nafasi ya 760 duniani.

Moja kati ya vyuo navyotamani kuja kusoma hapo baadaye ni kumamoto kwani kinatoa elimu bora ambayo hapa nchini Tanzania hakuna hata chuo kinachoikaribia ingawaje kimeshuka kutoka katika kumi bora na kushikia nafasi ya 19.


Kumamoto-1.jpg

Makumbusho kumamoto


21.-201-10-31b.jpg

Moja ya lecture hall


map.jpg

Ramani (jengo namba 22) ikionyesha Uchimura laboratory iliyopo katika viunga vya kumamoto.


kumamoto1.png

Maisha kumamoto



Bofya HAPA ujionee mwenyewe Kumamoto.

Wahadhiri wengi wa KUMAMOTO University ni wa jinsia gani?
 
Kila mwaka huwa wanatoa scholarship hapa bongo, kuna classmate wangu alipata mwaka jana...
 
Kila mwaka huwa wanatoa scholarship hapa bongo, kuna classmate wangu alipata mwaka jana...
Nawaonea wivu hao waliobaatika kupata golden chance kumamoto.
Mkuu ukisikia wametoa scholarship next time tena usiache kunijuza.
 
Nawaonea wivu hao waliobaatika kupata golden chance kumamoto.
Mkuu ukisikia wametoa scholarship next time tena usiache kunijuza.
Nadhan mwezi wa tano/wa sita...
Huwa hao jamaa hata udsm wanakwenda kutangaza hizo scholarship..
Kama ni master gpa ikiwa kuanzia 3.5 basi uwezekano wa kupata ni mkubwa...
 
Back
Top Bottom