Kulogea/kulogewa yai viza

sasa kaa mimi sina imani na hayo mtu mwingine akininuzia nitadhurika?
 

mkuu, yai viza linazo kazi nyingi tu, kuna mkoa yanauzwa bei mbaya, linatumika kutegea kenge, linachemshwa halafu anawekewa kenge asivyo na akili yeye huwa ni kumeza na kulipasulia tumboni, hapo ndo huuingia mkenge.
 
mimi kuna watu wanapitaga kwa watu tunaoangua vifaranga na kuomba tuwauzie mayai viza kumbe ndiyo wanaenda kudungulia watu future zao... yule jamaa alinidanganya eti wanaenda kutengenezea sumu ya kuua wadudu ...
 
mkuu, yai viza linazo kazi nyingi tu, kuna mkoa yanauzwa bei mbaya, linatumika kutegea kenge, linachemshwa halafu anawekewa kenge asivyo na akili yeye huwa ni kumeza na kulipasulia tumboni, hapo ndo huuingia mkenge.

mimi kuna watu wanapitaga kwa watu tunaoangua vifaranga na kuomba tuwauzie mayai viza kumbe ndiyo wanaenda kudungulia watu future zao... yule jamaa alinidanganya eti wanaenda kutengenezea sumu ya kuua wadudu ...

Kamwe hawawezi kukwambia ukweli ni kama hiyo ya kenge wanaficha ukweli kuna jinsi nyingi za kumtega kenge
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…