Tangu nianze kufuatlia selection za madogo kwenye web ya tcu,leo ni mara ya tano nakuta web yao haiko hewani bila sababu za msingi...kwa anaejua a2fahamishe,ni nin mbaya huko!
Tangu nianze kufuatlia selection za madogo kwenye web ya tcu,leo ni mara ya tano nakuta web yao haiko hewani bila sababu za msingi...kwa anaejua a2fahamishe,ni nin mbaya huko!
Hamna jipya mambo ni yale yale tu, kwani hao madogo wambie wavute subira yaani hata wasahau kama kuna kwenda chuo mwaka huu maana mambo bado baada ya tcu ni loan board so bora kutulia tu maana nikujitesa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.