Sioni kwa nini wasanii walaumiwe kwa hili. Tuangalie ukweli ulivyo...........Mtayarishaji amesema amepata 20,000,000. Diamond kapewa 2.5milioni, kiasi cha 10%, unasema msanii kaibiwa , je unazijua gharama za matayarishaji? Unajua makubaliano yalikuwa yepi? nani aligharamia, malazi, usafiri, chakula, kukodi ukumbi, kukodi vyombo, matangazo ............biashara hii ndivyo inavyofanyika duniani kote. Hivi katika ajira uliyonayo mwenyewe unagawana kwa pasenti ngapi na mwajiri wako?