Habari Wana Jf,
Hivi wasanii wa Tz wanajua kuwa muziki au uigizaji ni kazi kama nyinge na inatakiwa kuheshimiwa? mbona wanajishusha bei kiasi hicho? mfano ni msanii Diamond ambaye alikuwa aje Arusha kufanya shoo kwa malipo ya sh.2.5 mil, baada ya kuingia mitini wakurugenzi wanasema wamepata hasara kwani mashabiki takribani 2000 walianza kuleta fujo wakitaka kurudishiwa fedha zao za kiingilio ambapo kila mtu aliingia kwa 10,000!! ukiangalia hapa waandaaji walipata 20,000,000 lakini msanii walikubaliana kumlipa 2.5mil maana yake ni nini??? hivi wasanii wa tz wanaangalia mbele?? wanajua thamani yao??? imenuma sana japo jamaa aliingia mitini na 1.5mil!! kitu ambacho pia sio kizuri ila kwa leo sizungumzii hilo!!
wakuu hebu tujadili, hivi hawa wasanii wanajua thamani yao?
source: Issa Michuzi
Hivi wasanii wa Tz wanajua kuwa muziki au uigizaji ni kazi kama nyinge na inatakiwa kuheshimiwa? mbona wanajishusha bei kiasi hicho? mfano ni msanii Diamond ambaye alikuwa aje Arusha kufanya shoo kwa malipo ya sh.2.5 mil, baada ya kuingia mitini wakurugenzi wanasema wamepata hasara kwani mashabiki takribani 2000 walianza kuleta fujo wakitaka kurudishiwa fedha zao za kiingilio ambapo kila mtu aliingia kwa 10,000!! ukiangalia hapa waandaaji walipata 20,000,000 lakini msanii walikubaliana kumlipa 2.5mil maana yake ni nini??? hivi wasanii wa tz wanaangalia mbele?? wanajua thamani yao??? imenuma sana japo jamaa aliingia mitini na 1.5mil!! kitu ambacho pia sio kizuri ila kwa leo sizungumzii hilo!!
wakuu hebu tujadili, hivi hawa wasanii wanajua thamani yao?
source: Issa Michuzi