Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 36,155
- 30,832
Je,
Chadema walikurupuka kuwatimua hazina hiyo muhimu ya viongozi wa wanawake wanaokubalika zaidi kwa wananchi na kuwaita wasaliti?
Maana iko wazi kwamba, wote waliojiunga na chama tawala na kupewa fursa ya kugombea nafasi ya ubunge, wanakubalika zaidi, wanaaminika zaidi kwa wananchi, na kwakweli wanaelekea kuipa CCM ushindi wa kishindo Oct 29, 2025..
Suala la vyama vya siasa hususani vya upinzani nchini Tanazania, kukurupuka kuchukua hatua au maamuzi yasiyofaa bila kutathimini kwa kina athari za uamuzi huo limekua changamoto inayowapa hasara upinzani kila uchwao.
Unashauri wafanye nini ili hatimae wajiepushe na kasumba hiyo ambayo daima huwasababishia hasara na majeraha mabaya zaidi ya kisiasa wao wenyewe?🐒
Mungu Ibariki Tanazania
Chadema walikurupuka kuwatimua hazina hiyo muhimu ya viongozi wa wanawake wanaokubalika zaidi kwa wananchi na kuwaita wasaliti?
Maana iko wazi kwamba, wote waliojiunga na chama tawala na kupewa fursa ya kugombea nafasi ya ubunge, wanakubalika zaidi, wanaaminika zaidi kwa wananchi, na kwakweli wanaelekea kuipa CCM ushindi wa kishindo Oct 29, 2025..
Suala la vyama vya siasa hususani vya upinzani nchini Tanazania, kukurupuka kuchukua hatua au maamuzi yasiyofaa bila kutathimini kwa kina athari za uamuzi huo limekua changamoto inayowapa hasara upinzani kila uchwao.
Unashauri wafanye nini ili hatimae wajiepushe na kasumba hiyo ambayo daima huwasababishia hasara na majeraha mabaya zaidi ya kisiasa wao wenyewe?🐒
Mungu Ibariki Tanazania