Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,705
- 11,298
Ingekuwa vizuri ungeanza kumuuliza mkeo kuwa kwanini yeye ni maji mara Moja?
ina maana na wewe shunie unaweza fanya hivyoUkiona mwanamke wa mtu anafanya hivyo anatafuta faraja ujue kwake hapati faraja mume ndio gari limewaka atafanya nini sasa
Hapana mkuu me siwezi kabisa kufanya hivyo yaan mume akishindikanika nabakinna utamu wangu tuina maana na wewe shunie unaweza fanya hivyo