Kulikoni wake za watu wanakuwa maji mara moja?

Kulikoni wake za watu wanakuwa maji mara moja?

The GT

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2015
Posts
461
Reaction score
529
Kwa utafiti wangu binafsi nilioufanya wa kubonga na wake za watu wapatao 10,wote bila hata usumbufu wa hapa na pale,walikubali kunipa mzigo ingawa sikuwachimbua.Hali hiyo ni tofauti kabisa kwa mabinti ambapo kati ya mabinti 10,hawazidi nusu hukubali kuachia mzigo ingawa ni baada ya kausumbufu ka hapa na pale.
HOJA FIKIRISHI:Ni nini huwapata hawa wake za watu mpaka wanakuwa maji mara 1?
Nilijaribu kujijibu kuwa huenda ndoa zaidi ya 95% zina migogoro mikubwa sana kiasi hushawishi wanawake kufikiria kujipooza wakidhani wanawakomoa waume zao kumbe huharibu zaidi.
NB.
Msinirushie mawe kwa utafiti huu jamani,ni ukweli usiopendeka,la kujua tu ni kuwa wake zetu ni hatari zaidi ya tusivyowadhania.
UWANJA NI WENU TUPATE CHANZO CHA TATIZO HILI.
 
Nafsi ni zile zile, kasoro maumbile ya kibaiolojia tu, kwamba huyu ni "me", huyu ni "ke", lakini udhaifu wa tamaa ni ule ule.
Mwanzoni wanamke unamtamani, ni mzuri kwa sura na ana mvuto kwenye macho yako, unamchumbia na kumuoa, hatimaye mnapata watoto nk nk.
Mnazoeana na hatimaye kumuona wa kawaida sana, miaka inasonga.
Baadae ule mvuto unatokomea na kumuona kama dada'ko mtoto wa baba yako.
Wakati huo wenzio wanamuona mrembo na anavutia. Na kwa wanawake ni hivyohivyo jinsi wanavyowaona waume zao baada ya kuishi miaka nenda rudi, mivuto husinyaa.
Kwa hiyo mautundu na mambo mengine ya awali mliyoanza nayo hutokomea menyewe. Hapo kupepesa macho kwingine ni jambo lisilozuilika, ni maisha, ni ubinadamu.
 
N
Nafsi ni zile zile, kasoro maumbile ya kibaiolojia tu, kwamba huyu ni "me", huyu ni "ke", lakini udhaifu wa tamaa ni ule ule.
Mwanzoni wanamke unamtamani, ni mzuri kwa sura na ana mvuto kwenye macho yako, unamchumbia na kumuoa, hatimaye mnapata watoto nk nk.
Mnazoeana na hatimaye kumuona wa kawaida sana, miaka inasonga.
Baadae ule mvuto unatokomea na kumuona kama dada'ko mtoto wa baba yako.
Wakati huo wenzio wanamuona mrembo na anavutia. Na kwa wanawake ni hivyohivyo jinsi wanavyowaona waume zao baada ya kuishi miaka nenda rudi, mivuto husinyaa.
Kwa hiyo mautundu na mambo mengine ya awali mliyoanza nayo hutokomea menyewe. Hapo kupepesa macho kwingine ni jambo lisilozuilika, ni maisha, ni ubinadamu.
Nadhani umemaliza kila kitu hapo
Heko kwako
 
Wake za watu ni freaky sana. Pia wana ujasiri kwa kuwa wanawajua wanaume vizuri. Pia wengine huwa wanakuwa bored. Uzuri wao huwa hawana tamaa kama single ladies. Tatizo lao ni kuwa wanapenda sana kavu na pia huwa wanakuwa na wivu balaa na wakinogewa wanapagawa na huwa kama vichaa kwa mchepuko. Hii imani ya kuwa wanawake hawana matamanio ni potofu sana. Wanawake ni freakier kuliko kiumbe yeyote duniani. Ukimjulia tu utamfaidi.
 
Kwa utafiti wangu binafsi nilioufanya wa kubonga na wake za watu wapatao 10,wote bila hata usumbufu wa hapa na pale,walikubali kunipa mzigo ingawa sikuwachimbua.Hali hiyo ni tofauti kabisa kwa mabinti ambapo kati ya mabinti 10,hawazidi nusu hukubali kuachia mzigo ingawa ni baada ya kausumbufu ka hapa na pale.
HOJA FIKIRISHI:Ni nini huwapata hawa wake za watu mpaka wanakuwa maji mara 1?
Nilijaribu kujijibu kuwa huenda ndoa zaidi ya 95% zina migogoro mikubwa sana kiasi hushawishi wanawake kufikiria kujipooza wakidhani wanawakomoa waume zao kumbe huharibu zaidi.
NB.
Msinirushie mawe kwa utafiti huu jamani,ni ukweli usiopendeka,la kujua tu ni kuwa wake zetu ni hatari zaidi ya tusivyowadhania.
UWANJA NI WENU TUPATE CHANZO CHA TATIZO HILI.
siku hizi ni wepesi sijui shida
 
Ni swala rahisi Sana kupata mwanamke Alie kwenye mahusiano.

Wanawake wanashindwa kutofautisha Kati ya mahusiano ya boifrend na ndoa

Mwanaume anakua na priorities nyingi Sana ikiwemo kujenga nyumba,ada za watoto,vyakula,kutunza wazazi.

Wanawake wengi hudhani kwamba wanasalitiwa,kana kwamba mwanaume hamjali.

Lakini mwsho wa siku hata akienda kwa mwanaume mwingne hali itajirudia tu vile vile.

Binafsi swezi ogopa kuaachwa na mwanamke kwa allegations Kama hizo.mwanaume wa ndoa ni toafuti na boifrend
 
Endelean Kupenda Wanawake Wanao Hudumiwa Na Wanaume Wenzenu

Hayaja Wakuta

Kiviere Wa Usangi
Sio suala la kujisifia lakini kwenye maisha kuna mengi. Kwanza mara nyingi wao wake za watu ndio hujitongozesha kwa wanaume wa nje, hasa maofisini. Pili, wewe unaweza ukawa mwema na kutowashughulikia lakini wa kwako wakamla tu. Hawa dada zetu hawana formula. Ni afadhali ufanye preemption tu.
 
Sio suala la kujisifia lakini kwenye maisha kuna mengi. Kwanza mara nyingi wao wake za watu ndio hujitongozesha kwa wanaume wa nje, hasa maofisini. Pili, wewe unaweza ukawa mwema na kutowashughulikia lakini wa kwako wakamla tu. Hawa dada zetu hawana formula. Ni afadhali ufanye preemption tu.
Inaonekana Unapenda Sana Wake Za watu

Ebu Jaribu Kunitumia # Za Mke Wako Kuna Story Frain Iv Naitaji Kubonga Nae

Kiviere Wa Usangi
 
Back
Top Bottom