RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,615
- 3,909
Kiukweli kama siyo boss yule wa Wizara ya Habari kutoa maelekezo naumia sana kuona waandishi wa habari kufumbia macho taarifa ya CAG ambayo madudu mengi yametolewa taarifa ndani ya Bunge, nimemuona Musukuma anafoka na Waitara kwa kusema wanaoliibia taifa hili ni wenye suti na tai.