Kulikoni UVCCM Taifa Mbona Kimya Sana?

Kulikoni UVCCM Taifa Mbona Kimya Sana?

Joined
Apr 27, 2006
Posts
26,584
Reaction score
10,464
- Inasikitisha na kushangaza sana kuona UVCCM Taifa ikiwa kimya sana hasa katika kipindi hiki cha Rasimu ya Katiba mpya, ambapo Jumuiya zote za CCM zipo mbio mbio sana kuelimisha wanachama wetu kuhusu msimamo wa CCM kuhusu Katiba mpya. I mean mbona kuna vichwa sana huko kama kina Jerry Silaa, Deo Ndejembi na Anthony Mavunde, nilitegeemea mtawatumia sana hawa Vichwa kuirudishia UVCCM hadhi yake ya enzi za TANU Youth League ya kina My Uncle Elly Anangisye, lakini badala yake imekuwa ni Jumuiya mbili tu zinazosikika yaani Wazazi na UWT, kulikoni huko UVCCM?

- Jitahadini jamani, huu ni mwendo wa nginja nginja, habaki mtu nyuma CCM mbele tu, UVCCM kazeni buti watumieni vichwa hao twende kwa mbele!!

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!

Le Mutuz Live In Mbeya!!
 
UVCCM kwa sasa ina vichwa vitatu vikuu ambavyo vinafanyakazi usiku na mchana kuhakikisha CCM inazidi kupendwa sana. Vijana hao ni Mtera Mwampamba, Juliana Shonza na Tesha 'Tindikali' wengine waliobaki ama wamezubaa au CCM imewatupa.
 
Juzi wameandaa kongamano kubwa sana la katiba pale karimjee hall.
 
UVCCM kwa sasa ina vichwa vitatu vikuu ambavyo vinafanyakazi usiku na mchana kuhakikisha CCM inazidi kupendwa sana. Vijana hao ni Mtera Mwampamba, Juliana Shonza na Tesha 'Tindikali' wengine waliobaki ama wamezubaa au CCM imewatupa.
Mkuu umefurahisha na kunichekesha ile mbaya asubuhi ya leo lakini najua kwa nini umefanya hivyo kuwataja hao watatu kuwa vichwa vya uvccm yaani Mtera Mwampamba, Juliana Shonza, na Musa Tesha 'Tindikali" ila ulimsahau Supervisor wa hawa vichwa watatu Mwigulu Nchemba mzee wa China. Pamoja sana mkuu.
 
Waswahili wanasema kimya kina mshindo.

Kwenye maswala kama haya yanayohitaji umamasishaji, ukiona mtu yuko kimya lazima ufahamu kuna uwezekano mkubwa hakubaliana na kile kinachohamasishwa.

Kuna uwezekano CCM ya upande wa WAZAZI na UWT iliwaburuta UVCCM kwenye swala la muungano na sasa wanatuma ujumbe kwa njia ya dots.

Mapendekezo ya CCM kuhusu muungano yana ukakasi sana, ndiyo maana hata UVCCM wanaonekana kuyakataa.

Inaonekana wananchi wanataka serikali moja au kuvunja muungano ili kupatikane Tanganyika.

WAZAZI and UWT are just walking alone.
 
- Inasikitisha na kushangaza sana kuona UVCCM Taifa ikiwa kimya sana hasa katika kipindi hiki cha Rasimu ya Katiba mpya, ambapo Jumuiya zote za CCM zipo mbio mbio sana kuelimisha wanachama wetu kuhusu msimamo wa CCM kuhusu Katiba mpya. I mean mbona kuna vichwa sana huko kama kina Jerry Silaa, Deo Ndejembi na Anthony Mavunde, nilitegeemea mtawatumia sana hawa Vichwa kuirudishia UVCCM hadhi yake ya enzi za TANU Youth League ya kina My Uncle Elly Anangisye, lakini badala yake imekuwa ni Jumuiya mbili tu zinazosikika yaani Wazazi na UWT, kulikoni huko UVCCM?

- Jitahadini jamani, huu ni mwendo wa nginja nginja, habaki mtu nyuma CCM mbele tu, UVCCM kazeni buti watumieni vichwa hao twende kwa mbele!!

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!

Le Mutuz Live In Mbeya!!

Hivyo vichwa vina madaraka gani ndani ya UVCCM? Mkuu ina maana Mwenyekiti na Katibu si vichwa?
 
CCM ndio mwalimu wa wazabina zabina, mtaacha tu baada ya kuelewa
 
Le Baharia, Le Mutuz, Le Big Show, nawe unashangaa ukimya wa vijana wako?
Ndani kwa ndani mwa UVCCM kulikuwa na kamtafaruku kidogo.

Kale ka-vurugu kalikotokea Iringa (nadhani unakumbuka sakata la akina Masauni Yusuf) kaliacha makovu kibao ndani yake, kwa hiyo mpaka sasa hawajakaa sawa. Wengine kutoka Bagamoyo wakaja na lao, kwamba raisi wa nchi hawezi kutoka Kaskazini. Unadhani UVCCM wa kaskazini walijisikiaje?

Nao wana makundi kama ilivyo kwa NEC. Let 'em Clean that mess ndipo waje kama wamoja!
 
Mkuu umefurahisha na kunichekesha ile mbaya asubuhi ya leo lakini najua kwa nini umefanya hivyo kuwataja hao watatu kuwa vichwa vya uvccm yaani Mtera Mwampamba, Juliana Shonza, na Musa Tesha 'Tindikali" ila ulimsahau Supervisor wa hawa vichwa watatu Mwigulu Nchemba mzee wa China. Pamoja sana mkuu.

Hao wote uliowataja hawapo UVCCM na hawana nyadhifa zozote, nyie roho zitazidi kuwauma kwa mda mrefu sana ujao kwa jinsi hao vijana wanavoyabomoa CHADEMA
 
Hivyo vichwa vina madaraka gani ndani ya UVCCM? Mkuu ina maana Mwenyekiti na Katibu si vichwa?

Unategemea nn m/mwenyekiti Mboni Mhita anapoisaliti nafasi yake kwa kuendekeza ngono na baadhi ya makada wa upinzani akina Ben Saanane.Tatizo jumuiya yetu ina watu walioshinda kwa rushwa na si mapenzi kwa chama badala yake wanaendekeza uzinzi tu.Kuwa na mwanamke katika nafasi za juu za jumuiya tunahatarisha maslahi na siri zetu zipo uchi
 
Ukiacha Shigela aliyeko Zanzibar, hivi viongozi wengine wa UVCCM ni akina nani?...
 
Shigela na Edda wapo Zanzibar wanakula good time... Chezeya CCM wewe e?...

Uzinzi wa Katibu mkuu wa Vijana nao ulitia aibu ndiyo maana tangu ishu za makamu mwenyekiti ziletwe hapa ameshindwa kabisa kuitisha kikao cha nidhamu.

Mwenyekiti nae mgonjwa wa akili.Ndiyo kambi ya EL hii.Paul Makonda aliwaambia mbingu husimama nyuma ya anayeonewa.Ndiyo hiki sasa kinachotokea
 
UVCCM is a toothless organ only its importance comes when the old guards want to do things their way and they cannot do that without the help of UVCCM.

UVCCM is only used as a ladder by the old folks towards political ascension.
 
Hao wote uliowataja hawapo Uvccm na hawana nyadhifa zozote, nyie roho zitazidi kuwauma kwa mda mrefu sana ujao kwa jinsi hao vijana wanavoyabomoa machadema

Sijakuelewa mkuu unamaanisha hao vichwa wa CCM walivyoibomoa CHADEMA kule Arusha kwenye uchaguzi mdogo wa kata nne?
 
Ninyi hamtaki wachapakazi na wasimamia ukweli lazima muendelee kubebwa na dola ili mpumuwe! Vijana wenu makini kama akina Mchambuzi mnawaona maadui kwasababu wanasimamia ukweli.

UVCCM hakuna vijana wenye ushawishi mle.
 
Last edited by a moderator:
Juliana na Mwapamba si ndo UVCCM au...?
 
Ukiacha Shigela aliyeko Zanzibar, hivi viongozi wengine wa UVCCM ni akina nani?...

Eti mwenyewe amtaja Anthony Mavunde Kijana Maslahi au Jerry Slaa mpenda sifa za kijinga lakini uwezo mdogo.

Rushwa ikitamalaki huwezi kupata viongozi bora.Vichwa kama Salum Hapi na Paul Makonda ndio vingeweza kurudisha hadhi ya jumuiya.Leo Sadifa ambae hata kutumia simu aina ya Touch Screen anashindwa sembuse. kukabiliana na wapinzani ambao wako mbele yetu kwenye digitali.Umri wake na rafu zake ndiyo kaburi lake na jumuiya wakati bibie Mboni akipanuliwa miguu na vijana wa upinzani
 
Uzinzi wa Katibu mkuu wa Vijana nao ulitia aibu ndiyo maana tangu ishu za makamu mwenyekiti ziletwe hapa ameshindwa kabisa kuitisha kikao cha nidhamu.

Mwenyekiti nae mgonjwa wa akili.Ndiyo kambi ya EL hii.Paul Makonda aliwaambia mbingu husimama nyuma ya anayeonewa.Ndiyo hiki sasa kinachotokea

Hiyo ya red naona ilinipita mkuu, kama kuna thread naomba uniconnect...
 
Back
Top Bottom