Hata mimi niliaply, ila ninachotaka kuwambia marafiki zangu ni kwamba tuwe wavumilivu maana naamini bado hawajaajiri kwa nafasi zote zilizotangazwa yaani kuanzia zile za mwezi wa tano hadi zile za mwezi wa nane. Ila napenda kuwambia wahusika wa udom watoe tamko kuhusiana na suala hili maana muda umekuwa mrefu ili tujue nini la kufanya na kama tayari wameishaajiri kinyemera basi itakuwa ni bora nao walazimishwe nafazi zao za kazi ziwe zinatangazwa kupitia sekretariati ya ajira katika utumishi wa umma maana huko kuna haki na unafuu kwa kiasi fulani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.