kinepi_nepi
JF-Expert Member
- Aug 16, 2007
- 869
- 235
hata Sita ni fisadi tu
Huyu mzuri kinachomsaidia Mungu alimuondolea aibu zote. Tena akasema Mzee Six ni ndugu yake hawezi kumtenda hivi!
Kwa jinsi hali ilivyo mbaya jamaa alisahau hata kama kuna mfungo wa ramadhaniKwani huyu jamaa hakufunga?? Au mwezi usha andama wengine hatuna habari??
Kiatu cha Baniani SI dawaRostam sasa tuseme hela yake yote ile aliyoimwaga kule CC na NEC ndio imepotea bure?