Wewe ni mke mwema kwa maneno yako,omba mungu akupe mume mwema.Hizi ndoa hizi
Pamoja na kusoma sana humu na kusikia kuwa ndo za siku hizi majanga ila bado mimi nahitaji ndoa yakinishinda ntaondoka.
Inafikia hadi hatua mtu aliyeolewa anakwambia kabisa mwaya mdogo wangu usiolewe ndoa ngumu ingekuwa mimi wewe nazaa katoto kangu kamoja natulia.
Hapo unabaki tu kumshangaa.
Si kila mtu atapata ndoa yenye matatizo japo nyingi za siku hizi kila mtu analalamika.
Kuwa mke kuna raha yake ila usivumilie mpaka ifikie hatua unatolewa jicho eti unailinda ndoa yako.Maji yakizidi unga tafuta mbadala wa maisha yako.
Maisha yenyewe mafupi uje teseka kwasababu ya mtoto wa mwingine.
Si ampeleke shule tuYaani hizi ndoa! Tatizo ni kutokujielewa tu na kutambua kwanini unaingia kwenye ndoa. Kikubwa zaidi hofu ya Mungu hakuna.
Kuna boya mmoja anataka kumuacha mke wake eti kisa hajasoma, sasa nikajiuliza wakati anaoa huyo mke alikuwa kasoma ila sasa ndio hana elimu!!
Ndio hapo sasa, kutokujielewa nako ni taabu.Si ampeleke shule tu
Ni bora kujiishia pekeako tu huu ujinga hata mie nauona unamnyenyekea mke mke anakuona bwege unamkuta anatongozana.na vitoto vya chuo tena vya field... sijazaa wala nn bora.achape lapa bora pekeanguBinafsi i don't believe in marriage japo nipo kwenye ndoa ila anytime ntaiacha maana ninayokutana nayo ni makubwa na si swala la uvumilivu no mimi nimevumilia kwa miaka minne unaenda wa tano ila mtu ndo kama anakuona unajipendekeza na huna pa kwenda, nadhani kiburi cha pesa na hulka ya mtu binafsi kuwa na wanawake wengi pia vinachangia ndoa nyingi kuvunjika,mwanamke unaweza ukavumilia na kujaribu kumrekebisha ila mwanaume anakuona km unampanda kichwani na kumfatilia mambo yake so hapo ndo kuna tatizo
Haina maaana hujadanganywa achana nayoHizi ndoa hizi
Pamoja na kusoma sana humu na kusikia kuwa ndo za siku hizi majanga ila bado mimi nahitaji ndoa yakinishinda ntaondoka.
Inafikia hadi hatua mtu aliyeolewa anakwambia kabisa mwaya mdogo wangu usiolewe ndoa ngumu ingekuwa mimi wewe nazaa katoto kangu kamoja natulia.
Hapo unabaki tu kumshangaa.
Si kila mtu atapata ndoa yenye matatizo japo nyingi za siku hizi kila mtu analalamika.
Kuwa mke kuna raha yake ila usivumilie mpaka ifikie hatua unatolewa jicho eti unailinda ndoa yako.Maji yakizidi unga tafuta mbadala wa maisha yako.
Maisha yenyewe mafupi uje teseka kwasababu ya mtoto wa mwingine.
Haina maaana hujadanganywa achana nayo
ukiingia katika ndoa na mawazo kama haya is kiingia tu haitadumu.Hizi ndoa hizi
Pamoja na kusoma sana humu na kusikia kuwa ndo za siku hizi majanga ila bado mimi nahitaji ndoa yakinishinda ntaondoka.
Inafikia hadi hatua mtu aliyeolewa anakwambia kabisa mwaya mdogo wangu usiolewe ndoa ngumu ingekuwa mimi wewe nazaa katoto kangu kamoja natulia.
Hapo unabaki tu kumshangaa.
Si kila mtu atapata ndoa yenye matatizo japo nyingi za siku hizi kila mtu analalamika.
Kuwa mke kuna raha yake ila usivumilie mpaka ifikie hatua unatolewa jicho eti unailinda ndoa yako.Maji yakizidi unga tafuta mbadala wa maisha yako.
Maisha yenyewe mafupi uje teseka kwasababu ya mtoto wa mwingine.
Hapo sawa mtu asikukatishe tamaa![]()
![]()
![]()
![]()
Si rahisi kama unavyofikiria.
Ntaachana nayo nikikosa wa kunioa hivihivi hapana kwakweli
Pole mkuuNi bora kujiishia pekeako tu huu ujinga hata mie nauona unamnyenyekea mke mke anakuona bwege unamkuta anatongozana.na vitoto vya chuo tena vya field... sijazaa wala nn bora.achape lapa bora pekeangu
Kila la kheri utampata tu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Si rahisi kama unavyofikiria.
Ntaachana nayo nikikosa wa kunioa hivihivi hapana kwakweli
Mie ni victim wa hvyo vitu!daah!acha tu!Binafsi i don't believe in marriage japo nipo kwenye ndoa ila anytime ntaiacha maana ninayokutana nayo ni makubwa na si swala la uvumilivu no mimi nimevumilia kwa miaka minne unaenda wa tano ila mtu ndo kama anakuona unajipendekeza na huna pa kwenda, nadhani kiburi cha pesa na hulka ya mtu binafsi kuwa na wanawake wengi pia vinachangia ndoa nyingi kuvunjika,mwanamke unaweza ukavumilia na kujaribu kumrekebisha ila mwanaume anakuona km unampanda kichwani na kumfatilia mambo yake so hapo ndo kuna tatizo
Naunga mkono hojaguys...stay single..enjoy your life and protect what you are working for kila siku.....
once again...Baki peke yako..hakuja tatizo wala shida yoyote...have friends..go to places ..ndoa sio mahali salama tena miaka hii na ijayo