Kulikoni ndoa za siku hizi?

Kulikoni ndoa za siku hizi?

Kwani idadi ya watu IPO sawa na ya zamani? Na ndoa ni wewe usiige mbona kila siku watu wanaowana ? kama bado unaangalia watu ktka maisha yako bado hujaiva kwenye ndoaa
 
Hizi ndoa hizi
Pamoja na kusoma sana humu na kusikia kuwa ndo za siku hizi majanga ila bado mimi nahitaji ndoa yakinishinda ntaondoka.
Inafikia hadi hatua mtu aliyeolewa anakwambia kabisa mwaya mdogo wangu usiolewe ndoa ngumu ingekuwa mimi wewe nazaa katoto kangu kamoja natulia.
Hapo unabaki tu kumshangaa.
Si kila mtu atapata ndoa yenye matatizo japo nyingi za siku hizi kila mtu analalamika.
Kuwa mke kuna raha yake ila usivumilie mpaka ifikie hatua unatolewa jicho eti unailinda ndoa yako.Maji yakizidi unga tafuta mbadala wa maisha yako.
Maisha yenyewe mafupi uje teseka kwasababu ya mtoto wa mwingine.
Wewe ni mke mwema kwa maneno yako,omba mungu akupe mume mwema.
 
Yaani hizi ndoa! Tatizo ni kutokujielewa tu na kutambua kwanini unaingia kwenye ndoa. Kikubwa zaidi hofu ya Mungu hakuna.

Kuna boya mmoja anataka kumuacha mke wake eti kisa hajasoma, sasa nikajiuliza wakati anaoa huyo mke alikuwa kasoma ila sasa ndio hana elimu!!
 
Yaani hizi ndoa! Tatizo ni kutokujielewa tu na kutambua kwanini unaingia kwenye ndoa. Kikubwa zaidi hofu ya Mungu hakuna.

Kuna boya mmoja anataka kumuacha mke wake eti kisa hajasoma, sasa nikajiuliza wakati anaoa huyo mke alikuwa kasoma ila sasa ndio hana elimu!!
Si ampeleke shule tu
 
Ni hizi ndoa kuanzia 2010 ndio zinaongoza kuparaganyika
Bro kwa ufupi wengi tunapenda kwaito nazawadi tutakazo pewa siku ya harusi na kuwatambia marafiki kuwa nawewe una mke/mume basi,Haya mambo yapo mjini sana.
 
Siamin katika mapenzi maan yanaumiz
1475447035461.jpg
 
Binafsi i don't believe in marriage japo nipo kwenye ndoa ila anytime ntaiacha maana ninayokutana nayo ni makubwa na si swala la uvumilivu no mimi nimevumilia kwa miaka minne unaenda wa tano ila mtu ndo kama anakuona unajipendekeza na huna pa kwenda, nadhani kiburi cha pesa na hulka ya mtu binafsi kuwa na wanawake wengi pia vinachangia ndoa nyingi kuvunjika,mwanamke unaweza ukavumilia na kujaribu kumrekebisha ila mwanaume anakuona km unampanda kichwani na kumfatilia mambo yake so hapo ndo kuna tatizo
Ni bora kujiishia pekeako tu huu ujinga hata mie nauona unamnyenyekea mke mke anakuona bwege unamkuta anatongozana.na vitoto vya chuo tena vya field... sijazaa wala nn bora.achape lapa bora pekeangu
 
Hizi ndoa hizi
Pamoja na kusoma sana humu na kusikia kuwa ndo za siku hizi majanga ila bado mimi nahitaji ndoa yakinishinda ntaondoka.
Inafikia hadi hatua mtu aliyeolewa anakwambia kabisa mwaya mdogo wangu usiolewe ndoa ngumu ingekuwa mimi wewe nazaa katoto kangu kamoja natulia.
Hapo unabaki tu kumshangaa.
Si kila mtu atapata ndoa yenye matatizo japo nyingi za siku hizi kila mtu analalamika.
Kuwa mke kuna raha yake ila usivumilie mpaka ifikie hatua unatolewa jicho eti unailinda ndoa yako.Maji yakizidi unga tafuta mbadala wa maisha yako.
Maisha yenyewe mafupi uje teseka kwasababu ya mtoto wa mwingine.
Haina maaana hujadanganywa achana nayo
 
Hizi ndoa hizi
Pamoja na kusoma sana humu na kusikia kuwa ndo za siku hizi majanga ila bado mimi nahitaji ndoa yakinishinda ntaondoka.
Inafikia hadi hatua mtu aliyeolewa anakwambia kabisa mwaya mdogo wangu usiolewe ndoa ngumu ingekuwa mimi wewe nazaa katoto kangu kamoja natulia.
Hapo unabaki tu kumshangaa.
Si kila mtu atapata ndoa yenye matatizo japo nyingi za siku hizi kila mtu analalamika.
Kuwa mke kuna raha yake ila usivumilie mpaka ifikie hatua unatolewa jicho eti unailinda ndoa yako.Maji yakizidi unga tafuta mbadala wa maisha yako.
Maisha yenyewe mafupi uje teseka kwasababu ya mtoto wa mwingine.
ukiingia katika ndoa na mawazo kama haya is kiingia tu haitadumu.
 
Ni bora kujiishia pekeako tu huu ujinga hata mie nauona unamnyenyekea mke mke anakuona bwege unamkuta anatongozana.na vitoto vya chuo tena vya field... sijazaa wala nn bora.achape lapa bora pekeangu
Pole mkuu
 
guys...stay single..enjoy your life and protect what you are working for kila siku.....

once again...Baki peke yako..hakuja tatizo wala shida yoyote...have friends..go to places ..ndoa sio mahali salama tena miaka hii na ijayo
 
Binafsi i don't believe in marriage japo nipo kwenye ndoa ila anytime ntaiacha maana ninayokutana nayo ni makubwa na si swala la uvumilivu no mimi nimevumilia kwa miaka minne unaenda wa tano ila mtu ndo kama anakuona unajipendekeza na huna pa kwenda, nadhani kiburi cha pesa na hulka ya mtu binafsi kuwa na wanawake wengi pia vinachangia ndoa nyingi kuvunjika,mwanamke unaweza ukavumilia na kujaribu kumrekebisha ila mwanaume anakuona km unampanda kichwani na kumfatilia mambo yake so hapo ndo kuna tatizo
Mie ni victim wa hvyo vitu!daah!acha tu!

Nilipenda,niliheshimu,ndugu walinipenda nilijishusha nilipambana!

Nilikua nampa kila anachokitaka kwa muda muafaka!!

Mwisho akaniambia hanihitaji akiulizwa sababu anasema basi tu nimemchoka!hana hata ubaya Ila mie sasa hivi sitaki mke!

Mungu ananiona simsingizii hata angekuepo hapa!

Mwisho nakuja Dar kuuguza narudi nakuta replacement ndani!

Nikageuza kwetu sijarudi tena nmna niliacha kila kitu!

Naanza upyaaa maisha moja kabisa!

Ndoa kwa sasa hapana kwa kweli badoooo!!!

Wacha waoane!
 
Back
Top Bottom