Loftins
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 10,299
- 13,340
Hizo "effects" hata ukihesabiwa ziko palepale hakuna unafuu wowote watu wataupata kwa kuhesabiwa.Lazima uhesabiwe. Kuna effects ukikwepa
Tanzania ni linchi masikini la kiboya kabisa
Hizo "effects" hata ukihesabiwa ziko palepale hakuna unafuu wowote watu wataupata kwa kuhesabiwa.Lazima uhesabiwe. Kuna effects ukikwepa
😝😝😝Watawahesabu magasho yao mimi sihesabiwi tena ntakua bar nakula burudani
Mtoa mada hajaongelea kutoyafahamu maudhui ya sensa, bali kauliza nguvu kubwa inayosukuma serikali katika kuhamasisha zoezi hilo.Sensa ina umuhimu mkubwa sana katika Taifa na kwa sisi wenye umri mkubwa tunakumbuka hamasa zake toka siku za nyuma
Idadi ya watu ni muhimu sana katika kupanga maendeleo ya sehemu na taifa kwa ujumla. Bajeti inapangwa kwa idadi ya watu.
Sensa kwa nchi yetu ni kama uchaguzi tu. Kinachonikera ni uvccm kujiona wao wanahatimiliki ya vibaruaSalama ndugu?
Najiuliza sana... Mbona ilikuwa ni jambo la kawaida tu kwa serikali kutumia mamlaka yake KUTANGAZA TU KWAMBA TAREHE FULANI KUTAKUWA NA ZOEZI LA SENSA... HIVYO WANANCHI MTAPASWA KUFUATA MAAGIZO YAFUATAYO.
Simple...
Sasa hizi promotion kupita kiasi lengo lake ni kweli kuhamasisha tu watu wahesabiwe? Just watu wahesabiwe tu?
Yaani serikali inataka hesabu ya idadi ya watu wake... Inawahamasisha kwa nguvu kubwa hivi...
Pesa nyingi inatumika kila sekta kuhamasisha sensa... Kuanzia kwenye vyombo vya habari michezo wasanii na miziki na kila nyanja... Ni SENSA SENSA...
Hivi kuna SENSA tu kipindi hiki kama kipaumbele cha nchi au kuna kingine chini ya kapeti hakitakiwi kugundulika na ummaa...?
Nilielewa labda ni ka njia ka upigaji ka pesa za umma...pale ambapo niliona habari kwenye UTV ALASIRI LOUNGE jana. Wakiripoti "CHAMA CHA WALEMAVU WA NGOZI WAIOMBA SERIKALI IWAPE FUNGU LA PESA NA WAO... ILI NA WAO WAWEZE KUSAMBAA WILAYA MBALIMBALI NCHINI KUHAMASISHA WATU WENYE ULEMAVU JUU YA KUJIANDAA KUHESABIWA."
Kuna habari vilevile... Kuna kiongozi sikumbuki ni nani alisema...." OLE WAKE ATAKAYEVURUGA ZOEZI HILI LA SENSA".
Najiuliza hizi gharama nyingi zinazotumika kufanya promo kubwa hivi... Inategemea serikali kuzirudishaje?
HII NGUVU INAYOTUMIKA INATIA SHAKA KWAKWELI...
HII SENSA HUENDA HAINA FAIDA KWA MWANANCHI WA KAWAIDA KAMA INAVYOELEZWA...
NINA SHAKA KUNA KAUPIGAJI KABLA, WAKATI WA SENSA AU BAADA YA SENSA... NINA SHAKA...
Ni wasiwasi wangu tu.
NOTE:
* KUSEMA HAYA SIHAMASISHI WALA SINA LENGO LA KUHAMASISHA WATU WASIKUBALI KUHESABIWA.
* BINAFSI Mimi nipo tayari kuhesabiwa(kwangu mimi hainidhuru kwa lolote nikihesabiwa, na nisipohesabiwa vilevile haininufaishi kitu) .
JIANDAE KUHESABIWA... SENSA KWA MAENDELEO YA TAIFA.
Hizi effect ni tofauti na hizi ambazo zimewakumba watanzania ambao walihesabiwa mwaka 2012 au kuna zingineLazima uhesabiwe. Kuna effects ukikwepa
Hapa kuna upigaji... Hutoona karani amefika kwako... Na takwimu zitatangazwa...Mtoa mada hajaongelea kutoyafahamu maudhui ya sensa, bali kauliza nguvu kubwa inayosukuma serikali katika kuhamasisha zoezi hilo.
Anajiuliza, hivi serikali ingelitoa maelekezo na tarehe ya sensa bila huu msukumo usiokuwa wa kawaida, watu wasingelihesabiwa?
Wahesabuji wa watu wawe na ulinzi. Wananchi wamekasirishwa sana na ujinga ule wa CCM. Sidhani kama itakuwa shwari. Watu watapigwaSalama ndugu?
Najiuliza sana... Mbona ilikuwa ni jambo la kawaida tu kwa serikali kutumia mamlaka yake KUTANGAZA TU KWAMBA TAREHE FULANI KUTAKUWA NA ZOEZI LA SENSA... HIVYO WANANCHI MTAPASWA KUFUATA MAAGIZO YAFUATAYO.
Simple...
Sasa hizi promotion kupita kiasi lengo lake ni kweli kuhamasisha tu watu wahesabiwe? Just watu wahesabiwe tu?
Yaani serikali inataka hesabu ya idadi ya watu wake... Inawahamasisha kwa nguvu kubwa hivi...
Pesa nyingi inatumika kila sekta kuhamasisha sensa... Kuanzia kwenye vyombo vya habari michezo wasanii na miziki na kila nyanja... Ni SENSA SENSA...
Hivi kuna SENSA tu kipindi hiki kama kipaumbele cha nchi au kuna kingine chini ya kapeti hakitakiwi kugundulika na ummaa...?
Nilielewa labda ni ka njia ka upigaji ka pesa za umma...pale ambapo niliona habari kwenye UTV ALASIRI LOUNGE jana. Wakiripoti "CHAMA CHA WALEMAVU WA NGOZI WAIOMBA SERIKALI IWAPE FUNGU LA PESA NA WAO... ILI NA WAO WAWEZE KUSAMBAA WILAYA MBALIMBALI NCHINI KUHAMASISHA WATU WENYE ULEMAVU JUU YA KUJIANDAA KUHESABIWA."
Kuna habari vilevile... Kuna kiongozi sikumbuki ni nani alisema...." OLE WAKE ATAKAYEVURUGA ZOEZI HILI LA SENSA".
Najiuliza hizi gharama nyingi zinazotumika kufanya promo kubwa hivi... Inategemea serikali kuzirudishaje?
HII NGUVU INAYOTUMIKA INATIA SHAKA KWAKWELI...
HII SENSA HUENDA HAINA FAIDA KWA MWANANCHI WA KAWAIDA KAMA INAVYOELEZWA...
NINA SHAKA KUNA KAUPIGAJI KABLA, WAKATI WA SENSA AU BAADA YA SENSA... NINA SHAKA...
Ni wasiwasi wangu tu.
NOTE:
* KUSEMA HAYA SIHAMASISHI WALA SINA LENGO LA KUHAMASISHA WATU WASIKUBALI KUHESABIWA.
* BINAFSI Mimi nipo tayari kuhesabiwa(kwangu mimi hainidhuru kwa lolote nikihesabiwa, na nisipohesabiwa vilevile haininufaishi kitu) .
JIANDAE KUHESABIWA... SENSA KWA MAENDELEO YA TAIFA.
Mkuu hivi hayo maji yanalewesha kweli 🤔
Haiwezekani kukwepa kwa sababu hatuendi kujipanga mstari tuhesabiweLazima uhesabiwe. Kuna effects ukikwepa
Siyo kila jambo ni la kupuuza sensa ni jambo muhimu sana. Itakuwaje kwenye sherehe kama hujui wahudhiriaji????KUNA KITU SI BURE...
Mwaka 2012 wengi hawakuhesabiwa ikiwemo mimi.Lazima uhesabiwe. Kuna effects ukikwepa