AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,537
- 4,517
Salama ndugu?
Najiuliza sana... Mbona ilikuwa ni jambo la kawaida tu kwa serikali kutumia mamlaka yake KUTANGAZA TU KWAMBA TAREHE FULANI KUTAKUWA NA ZOEZI LA SENSA... HIVYO WANANCHI MTAPASWA KUFUATA MAAGIZO YAFUATAYO.
Simple...
Sasa hizi promotion kupita kiasi lengo lake ni kweli kuhamasisha tu watu wahesabiwe? Just watu wahesabiwe tu?
Yaani serikali inataka hesabu ya idadi ya watu wake... Inawahamasisha kwa nguvu kubwa hivi...
Pesa nyingi inatumika kila sekta kuhamasisha sensa... Kuanzia kwenye vyombo vya habari michezo wasanii na miziki na kila nyanja... Ni SENSA SENSA...
Hivi kuna SENSA tu kipindi hiki kama kipaumbele cha nchi au kuna kingine chini ya kapeti hakitakiwi kugundulika na ummaa...?
Nilielewa labda ni ka njia ka upigaji ka pesa za umma...pale ambapo niliona habari kwenye UTV ALASIRI LOUNGE jana. Wakiripoti "CHAMA CHA WALEMAVU WA NGOZI WAIOMBA SERIKALI IWAPE FUNGU LA PESA NA WAO... ILI NA WAO WAWEZE KUSAMBAA WILAYA MBALIMBALI NCHINI KUHAMASISHA WATU WENYE ULEMAVU JUU YA KUJIANDAA KUHESABIWA."
Kuna habari vilevile... Kuna kiongozi sikumbuki ni nani alisema...." OLE WAKE ATAKAYEVURUGA ZOEZI HILI LA SENSA".
Najiuliza hizi gharama nyingi zinazotumika kufanya promo kubwa hivi... Inategemea serikali kuzirudishaje?
HII NGUVU INAYOTUMIKA INATIA SHAKA KWAKWELI...
HII SENSA HUENDA HAINA FAIDA KWA MWANANCHI WA KAWAIDA KAMA INAVYOELEZWA...
NINA SHAKA KUNA KAUPIGAJI KABLA, WAKATI WA SENSA AU BAADA YA SENSA... NINA SHAKA...
Ni wasiwasi wangu tu.
NOTE:
* KUSEMA HAYA SIHAMASISHI WALA SINA LENGO LA KUHAMASISHA WATU WASIKUBALI KUHESABIWA.
* BINAFSI Mimi nipo tayari kuhesabiwa(kwangu mimi hainidhuru kwa lolote nikihesabiwa, na nisipohesabiwa vilevile haininufaishi kitu) .
JIANDAE KUHESABIWA... SENSA KWA MAENDELEO YA TAIFA.
Najiuliza sana... Mbona ilikuwa ni jambo la kawaida tu kwa serikali kutumia mamlaka yake KUTANGAZA TU KWAMBA TAREHE FULANI KUTAKUWA NA ZOEZI LA SENSA... HIVYO WANANCHI MTAPASWA KUFUATA MAAGIZO YAFUATAYO.
Simple...
Sasa hizi promotion kupita kiasi lengo lake ni kweli kuhamasisha tu watu wahesabiwe? Just watu wahesabiwe tu?
Yaani serikali inataka hesabu ya idadi ya watu wake... Inawahamasisha kwa nguvu kubwa hivi...
Pesa nyingi inatumika kila sekta kuhamasisha sensa... Kuanzia kwenye vyombo vya habari michezo wasanii na miziki na kila nyanja... Ni SENSA SENSA...
Hivi kuna SENSA tu kipindi hiki kama kipaumbele cha nchi au kuna kingine chini ya kapeti hakitakiwi kugundulika na ummaa...?
Nilielewa labda ni ka njia ka upigaji ka pesa za umma...pale ambapo niliona habari kwenye UTV ALASIRI LOUNGE jana. Wakiripoti "CHAMA CHA WALEMAVU WA NGOZI WAIOMBA SERIKALI IWAPE FUNGU LA PESA NA WAO... ILI NA WAO WAWEZE KUSAMBAA WILAYA MBALIMBALI NCHINI KUHAMASISHA WATU WENYE ULEMAVU JUU YA KUJIANDAA KUHESABIWA."
Kuna habari vilevile... Kuna kiongozi sikumbuki ni nani alisema...." OLE WAKE ATAKAYEVURUGA ZOEZI HILI LA SENSA".
Najiuliza hizi gharama nyingi zinazotumika kufanya promo kubwa hivi... Inategemea serikali kuzirudishaje?
HII NGUVU INAYOTUMIKA INATIA SHAKA KWAKWELI...
HII SENSA HUENDA HAINA FAIDA KWA MWANANCHI WA KAWAIDA KAMA INAVYOELEZWA...
NINA SHAKA KUNA KAUPIGAJI KABLA, WAKATI WA SENSA AU BAADA YA SENSA... NINA SHAKA...
Ni wasiwasi wangu tu.
NOTE:
* KUSEMA HAYA SIHAMASISHI WALA SINA LENGO LA KUHAMASISHA WATU WASIKUBALI KUHESABIWA.
* BINAFSI Mimi nipo tayari kuhesabiwa(kwangu mimi hainidhuru kwa lolote nikihesabiwa, na nisipohesabiwa vilevile haininufaishi kitu) .
JIANDAE KUHESABIWA... SENSA KWA MAENDELEO YA TAIFA.