Kulikoni Mbona Kampeni za mwaka huu zimedoda sana

Kulikoni Mbona Kampeni za mwaka huu zimedoda sana

Mto wa mbu

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2021
Posts
4,126
Reaction score
9,593
Nipo Tanzania Kwa Sasa,ila nilichokiona kimenishangaza sana.

Nakumbuka Uchaguzi wa 2010 na 2015 na Kwa mbali wa 2020, ulivyokuwa na hamasa,mshikemshike na burudani kama zote.

Uchaguzi wa mwaka huu ni aibu tupu kabisa, Uchaguzi umepoa, umepwaya umekosa Ile political will.

Wagombea wa udiwani na ubunge wa CCM, wanafanya kampeini bila mzuka, wengine ata kuzindua kampeini hawajazindua.

Ukipitia social media ndo kabisa, uchaguzi hau-trend kabisa, kinacho trend ni Lissu na Polepole.

Nauliza kipo kimelipata hili Taifa? Yaani huu ndo uchaguzi mkuu wa nchi? Kuna aja gani ya international observers kuchoma dollar na kuja kuangalia hii takataka?

By the way vipi uko kwenu uchaguzi una amsha amsha yeyote?

Mto wa mbu,
Mto wa mbu-Monduli
 
Nipo Tanzania Kwa Sasa,ila nilichokiona kimenishangaza sana.

Nakumbuka Uchaguzi wa 2010 na 2015 na Kwa mbali wa 2020, ulivyokuwa na hamasa,mshikemshike na burudani kama zote.

Uchaguzi wa mwaka huu ni aibu tupu kabisa, Uchaguzi umepoa, umepwaya umekosa Ile political will.

Wagombea wa udiwani na ubunge wa CCM, wanafanya kampeini bila mzuka, wengine ata kuzindua kampeini hawajazindua.

Ukipitia social media ndo kabisa, uchaguzi hau-trend kabisa, kinacho trend ni Lissu na Polepole.

Nauliza kipo kimelipata hili Taifa? Yaani huu ndo uchaguzi mkuu wa nchi? Kuna aja gani ya international observers kuchoma dollar na kuja kuangalia hii takataka?

By the way vipi uko kwenu uchaguzi una amsha amsha yeyote?

Mto wa mbu,
Mto wa mbu-Monduli
Hakuna uchaguzi
 
Nipo Tanzania Kwa Sasa,ila nilichokiona kimenishangaza sana.

Nakumbuka Uchaguzi wa 2010 na 2015 na Kwa mbali wa 2020, ulivyokuwa na hamasa,mshikemshike na burudani kama zote.

Uchaguzi wa mwaka huu ni aibu tupu kabisa, Uchaguzi umepoa, umepwaya umekosa Ile political will.

Wagombea wa udiwani na ubunge wa CCM, wanafanya kampeini bila mzuka, wengine ata kuzindua kampeini hawajazindua.

Ukipitia social media ndo kabisa, uchaguzi hau-trend kabisa, kinacho trend ni Lissu na Polepole.

Nauliza kipo kimelipata hili Taifa? Yaani huu ndo uchaguzi mkuu wa nchi? Kuna aja gani ya international observers kuchoma dollar na kuja kuangalia hii takataka?

By the way vipi uko kwenu uchaguzi una amsha amsha yeyote?

Mto wa mbu,
Mto wa mbu-Monduli
Hata sijui sahivi wale jamaa wako wap
 
Nipo Tanzania Kwa Sasa,ila nilichokiona kimenishangaza sana.

Nakumbuka Uchaguzi wa 2010 na 2015 na Kwa mbali wa 2020, ulivyokuwa na hamasa,mshikemshike na burudani kama zote.

Uchaguzi wa mwaka huu ni aibu tupu kabisa, Uchaguzi umepoa, umepwaya umekosa Ile political will.

Wagombea wa udiwani na ubunge wa CCM, wanafanya kampeini bila mzuka, wengine ata kuzindua kampeini hawajazindua.

Ukipitia social media ndo kabisa, uchaguzi hau-trend kabisa, kinacho trend ni Lissu na Polepole.

Nauliza kipo kimelipata hili Taifa? Yaani huu ndo uchaguzi mkuu wa nchi? Kuna aja gani ya international observers kuchoma dollar na kuja kuangalia hii takataka?

By the way vipi uko kwenu uchaguzi una amsha amsha yeyote?

Mto wa mbu,
Mto wa mbu-Monduli
Ndo wanamtandao wanakitaka. Wao mradi liende watawale
 
Kampeni za China na Urusi huwa zina makelele?
Unaifahamu mifumo ya siasa inazotumiwa kwenye hayo mataifa?

Unayajua madhara ya mifumo kama hiyo ikitokea imekuja kutumika kwetu?

Tusiwe wepesi wakuyachukulia mambo kiwepesiwepesi tu , kesho tutakosa pakutokea huku sotte tukiwa ndani na wahuni washaondoka na funguo .

Tulipo siyo ,wake up dude
 
Huko Songwe watumishi wa umma wamelazimishwa kuhudhiria mkutano wa waoem(mboga mboga FC)🤣🤣🤣🤣🤣🤣
FB_IMG_17569160570706559.jpg
 
Nipo Tanzania Kwa Sasa,ila nilichokiona kimenishangaza sana.

Nakumbuka Uchaguzi wa 2010 na 2015 na Kwa mbali wa 2020, ulivyokuwa na hamasa,mshikemshike na burudani kama zote.

Uchaguzi wa mwaka huu ni aibu tupu kabisa, Uchaguzi umepoa, umepwaya umekosa Ile political will.

Wagombea wa udiwani na ubunge wa CCM, wanafanya kampeini bila mzuka, wengine ata kuzindua kampeini hawajazindua.

Ukipitia social media ndo kabisa, uchaguzi hau-trend kabisa, kinacho trend ni Lissu na Polepole.

Nauliza kipo kimelipata hili Taifa? Yaani huu ndo uchaguzi mkuu wa nchi? Kuna aja gani ya international observers kuchoma dollar na kuja kuangalia hii takataka?

By the way vipi uko kwenu uchaguzi una amsha amsha yeyote?

Mto wa mbu,
Mto wa mbu-Monduli
Wewe nawe usitusumbue bwana! Kwani wagombea wenyewe huwaoni? Kuna mgombea gani hapo mwenye kutia hamasa jamani?
 
Back
Top Bottom