Kulikoni majina haya Wachagga?

Kulikoni majina haya Wachagga?

furahi

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2010
Posts
945
Reaction score
197
Wachagga wana majina bwana. Utasikia Nice, Sweet, Light, Bright, Darling, Dear, Verynice, Gift, Present,Nuru, Sura, Kisura. Utakuta baba zima linaitwa Nice! lol
 
Hayo siyo majina ya kichaga,ni ya kizungu/kiswahili................majina yetu ni kama ndeletwa,aika,mushi,kimaro,muro,swai,masawe,ombaeli na kadhalika.................
 
Hayo siyo majina ya kichaga,ni ya kizungu/kiswahili................majina yetu ni kama ndeletwa,aika,mushi,kimaro,muro,swai,masawe,ombaeli na kadhalika.................
Sikusema ni majina ya kichagga, bali ni majina yanayopendwa na wachagga.
 
Wachagga wana majina bwana. Utasikia Nice, Sweet, Light, Bright, Darling, Dear, Verynice, Gift, Present,Nuru, Sura, Kisura. Utakuta baba zima linaitwa Nice! lol

Umekosea hayo ni ya Wahaya.

Ya wachanga ni - Pendo, Neema, Manka, Leo, Masumbuko, Mahangaiko, Million, Ndobesa, Kabeti nk.
 
Wachagga wana majina bwana. Utasikia Nice, Sweet, Light, Bright, Darling, Dear, Verynice, Gift, Present,Nuru, Sura, Kisura. Utakuta baba zima linaitwa Nice! lol

Haya ni matokeo ya kukesha baa unakunywa VIROBA!
 
Hayo siyo majina ya kichaga,ni ya kizungu/kiswahili................majina yetu ni kama ndeletwa,aika,mushi,kimaro,muro,swai,masawe,ombaeli na kadhalika.................
yes na pia
mboro
aliaowomi
eliafie
mkundukwaka
makyao
nkunundu
shiriwandumi
eliufoo
ngifi
 
Umekosea hayo ni ya Wahaya.

Ya wachanga ni - Pendo, Neema, Manka, Leo, Masumbuko, Mahangaiko, Million, Ndobesa, Kabeti nk.
Sifahamu kama Wahaya pia wanayatumia. But huko uchagani majina haya yanatumika sana. Mfano mzuri Mr. Nice!
 
yes na pia
mboro
aliaowomi
eliafie
mkundukwaka
makyao
nkunundu
shiriwandumi
eliufoo
ngifi

Kwa uelewa wangu hiyo ni risasi kwa kichaga. Majina ya watu mengine ni Mseseve, Mshabaa, Hotani, Mamkwe, Kibosike, Mwanaboru n.k
 
Labda wakisha kunywa pombe wanaropoka tu majina ya kidhungu na kuwapa watoto wao
 
Wachagga wana majina bwana. Utasikia Nice, Sweet, Light, Bright, Darling, Dear, Verynice, Gift, Present,Nuru, Sura, Kisura. Utakuta baba zima linaitwa Nice! lol

Hapo kwenye Blue
majina ya kichaga Ruwaaichi, ndetaramo, niachie, matarimo, mkunde nk
 
Umekosea hayo ni ya Wahaya.

Ya wachanga ni - Pendo, Neema, Manka, Leo, Masumbuko, Mahangaiko, Million, Ndobesa, Kabeti nk.
Hapo kwenye red Lazima jamaa watakua wanamaanisha hela. Mbona hakuna anayeitwa Hundred?
 
Wachagga wana majina bwana. Utasikia Nice, Sweet, Light, Bright, Darling, Dear, Verynice, Gift, Present,Nuru, Sura, Kisura. Utakuta baba zima linaitwa Nice! lol

mkuu unacheka sana ukisema hayo ni majina ya kichaga ya haya ni ya kikwenu??? Eliufoo, Ndeeshiwakwe, kusirie, elihuruma, manka, nkeku, woindumi, ndelimbi, Nnduminringi
 
Back
Top Bottom