Kulikoni JHPIEGO Dar es Salaam

Kifupi mkuu hata nchi yetu inaunga mkono maswala ya ushoga na mambo ya ndoa za jinsia moja ila sema njia tu ndo znatofautiana sisi tunaunga indirect either kwa kufaham au kutufahamu. Ndo maana hutaisikia serikali kutoa rasmi msisamo wake na kuleta sheria kuhusu maswala ushoga na ndoa za jinsia moja.
Inlalilahi wainlailaihi rajiuun
 
Sana ukimpeleka shoga unakula teni na shoga nae anakula chapaa na virainishi juuu, sasa vijana ili wakavute huo mkwanja wanageuzana kwanza ili vipimo vikasome kwamba wao ni mashoga ili wavute huo mkwanja. Kifupi jamaa kama wana promote hii mambo hivi!!
Mkuu, kweli hii kitu?
 
Hawa JHPIEGO ni shirika la Kimarekani ambalo kimsingi halifai kuwepo Tanzania kulingana na maadili yetu. Hawa watu bila ya kumumunya maneno wanaunga mkono ushoga pamoja na ukahaba, sijui wana malengo gani!

Mathalani tar 06/04/2016, Baraza la Madiwani Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga waliitisha kikao cha dharura ili kuliruhusu Shirika lisilo la serikali liitwalo Rafiki SDO(chini ya JHPIEGO) kuendelea na shughuli za kutoa elimu ya UKIMWI kwa wanawake wanaojihusisha na biashara ya ngono pamoja na mashoga.

Hii ni hatua iliyochukuliwa baada ya kulisitishia shirika hilo kuendesha shughuli zake mwezi Machi kutokana na tabia yao ya kuhamasisha watu kuendelea na ushoga kwa kuwapa vilainishi(lubricants).

Hawa watu machoni huwa wanatoa maelezo mazuri sana ila katika utekelezaji ni tatizo. Eti wanadai watawakusanya mashoga na wadada wanaojiuza katika vikundi ili wawasaidie kiuchumi.. Hili ni changa la macho! Unapowaweka mashoga pamoja unategemea nini?? Tutegemee kuanzishwa kwa soko la video za ngono baada ya miaka kadhaa ikiwemo maandamano ya mashoga Tanzania wakidai eti haki zao za kutambuliwa kama watanzania wengine.
Headmost, kuna wakati kunakuwa na matukio ambayo yanahitaji kufikiri kwa utulivu sana. Marekani ushoga ni mjadala mkubwa kweli kweli kwa sasa kiasi kwamba una athari zake katika harakati za uchaguzi wa Rais zinazoendelea huko. Sio kisiasa tu bali mjadala umegusa hata katika imani. Ndoa za mashoga kufungwa makanisani ni mjadala, na tayari kuna makanisa ambayo yamekubali ndoa hizo zifungwe.

Issue ya Shinyanga kwenye Baraza la Madiwani ninafahamu kwamba walioibua hoja ya kupinga JHPIEGO kutoa elimu ya UKIMWI kwa wanawake wanaojihusisha na biashara ya ngono pamoja na mashoga walikuwa ni wachungaji wa makanisa ya Kipentekoste. Hoja ya wachungaji hao ilikuwa kwamba, kama JHPIEGO walikuwa wanatoa elimu ya UKIMWI na ujasiriamali kwa makundi hayo huku wakitoa vilainishi (lubricants) maana yake walikuwa wanaunga mkono ushogana biashara ya ngono!

Nilichokiona kilicholeta utata ni kitendo cha Rafiki SDO kuwapa vilainishi mashoga. Sasa wengine wanaweza kujiuliza nini sababu za shirika hilo kutoa vilainishi? Je, ni kuwasaidia wasichubuke wakati hawajaondoka katika ushoga, au ni kuwahamasisha waendelee na ushoga?
 
Nimewakuta vijana bush wakielezana upuuzi huu mimi mwenyewe ila wahusika ni jphiego sauti, si unajuwa wamegawanyika jphiego wakata magovi na jphiego mashoga
Kumbe wapo hadi wanaokata mikono ya sweta! Sasa hao mashoga wakishapelekwa ndio wap wanawakaza au inakuwaje mkuu?
 
Hv unaielewaje dhana ya gender equality/balance
Mkuu hiyo dhana iliasisiwa na MAKAFIRI kuuharibu ulimwengu. Wao walitudanganya kuwa Mwanamke na Mwanamune wana Haki Sawa kwenye huduma za jamii kama elimu, afya n k. Huduma ambazo awali priority ya kwanza kabisa ilikuwa inatolewa kwa wanaume. Kumbe jana yao ni kutuingiza kijanja kwenye huu UKAFIRI kwa kigezo cha gender quality
 
Kumbe wapo hadi wanaokata mikono ya sweta! Sasa hao mashoga wakishapelekwa ndio wap wanawakaza au inakuwaje mkuu?
Wanapewa elimu ya kujikinga na maambukizi ikiwa pamoja na virainishi kuzuia michubuko na pia wanaelezwa haki zao wao kama mashoga
 
Jhpiego sijawai kuelewa recruitment process yao kabisaaaaaa.

yani naamini hilo lililosemwa lipo kabisa kua mardi ulitangaza kazi mwaka jana hivi, ofisini kwetu wali apply watu wengi ila tukaambiwa kabisa hapo kalaga baho na kweli katika watu zaidi ya sita waloomba hakuna aloitwa . Nikajua tu kuna namna. I also came to learn that kama we sio kabila fulani hapo huwezi toboa.
 
Mi nimewahi fanya interview hapo sikufanikiwa ingawa nina uhakika nilifanya vizuri. Hawakuweza kunipa sababu makini za kushindwa
 
Back
Top Bottom