Kulikoni JHPIEGO Dar es Salaam

Shirika linaharibu vijana mjini
Sana ukimpeleka shoga unakula teni na shoga nae anakula chapaa na virainishi juuu, sasa vijana ili wakavute huo mkwanja wanageuzana kwanza ili vipimo vikasome kwamba wao ni mashoga ili wavute huo mkwanja. Kifupi jamaa kama wana promote hii mambo hivi!!
 
Inlalilahi wainlailaihi rajiuun
 
Mkuu, kweli hii kitu?
 
Headmost, kuna wakati kunakuwa na matukio ambayo yanahitaji kufikiri kwa utulivu sana. Marekani ushoga ni mjadala mkubwa kweli kweli kwa sasa kiasi kwamba una athari zake katika harakati za uchaguzi wa Rais zinazoendelea huko. Sio kisiasa tu bali mjadala umegusa hata katika imani. Ndoa za mashoga kufungwa makanisani ni mjadala, na tayari kuna makanisa ambayo yamekubali ndoa hizo zifungwe.

Issue ya Shinyanga kwenye Baraza la Madiwani ninafahamu kwamba walioibua hoja ya kupinga JHPIEGO kutoa elimu ya UKIMWI kwa wanawake wanaojihusisha na biashara ya ngono pamoja na mashoga walikuwa ni wachungaji wa makanisa ya Kipentekoste. Hoja ya wachungaji hao ilikuwa kwamba, kama JHPIEGO walikuwa wanatoa elimu ya UKIMWI na ujasiriamali kwa makundi hayo huku wakitoa vilainishi (lubricants) maana yake walikuwa wanaunga mkono ushogana biashara ya ngono!

Nilichokiona kilicholeta utata ni kitendo cha Rafiki SDO kuwapa vilainishi mashoga. Sasa wengine wanaweza kujiuliza nini sababu za shirika hilo kutoa vilainishi? Je, ni kuwasaidia wasichubuke wakati hawajaondoka katika ushoga, au ni kuwahamasisha waendelee na ushoga?
 
Nimewakuta vijana bush wakielezana upuuzi huu mimi mwenyewe ila wahusika ni jphiego sauti, si unajuwa wamegawanyika jphiego wakata magovi na jphiego mashoga
Kumbe wapo hadi wanaokata mikono ya sweta! Sasa hao mashoga wakishapelekwa ndio wap wanawakaza au inakuwaje mkuu?
 
Hv unaielewaje dhana ya gender equality/balance
Mkuu hiyo dhana iliasisiwa na MAKAFIRI kuuharibu ulimwengu. Wao walitudanganya kuwa Mwanamke na Mwanamune wana Haki Sawa kwenye huduma za jamii kama elimu, afya n k. Huduma ambazo awali priority ya kwanza kabisa ilikuwa inatolewa kwa wanaume. Kumbe jana yao ni kutuingiza kijanja kwenye huu UKAFIRI kwa kigezo cha gender quality
 
Kumbe wapo hadi wanaokata mikono ya sweta! Sasa hao mashoga wakishapelekwa ndio wap wanawakaza au inakuwaje mkuu?
Wanapewa elimu ya kujikinga na maambukizi ikiwa pamoja na virainishi kuzuia michubuko na pia wanaelezwa haki zao wao kama mashoga
 
Jhpiego [emoji53] sijawai kuelewa recruitment process yao kabisaaaaaa.

yani naamini hilo lililosemwa lipo kabisa kua mardi ulitangaza kazi mwaka jana hivi, ofisini kwetu wali apply watu wengi ila tukaambiwa kabisa hapo kalaga baho na kweli katika watu zaidi ya sita waloomba hakuna aloitwa . Nikajua tu kuna namna. I also came to learn that kama we sio kabila fulani hapo huwezi toboa.
 
Mi nimewahi fanya interview hapo sikufanikiwa ingawa nina uhakika nilifanya vizuri. Hawakuweza kunipa sababu makini za kushindwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…