Taarifa ya habari za kimataifa imesomwa kiajabu sana. Habari ya urusi imewekwa libya na kinyume chake. Halafu msomaji hajatuomba radhi. Mzee Mengi umeona? Ama staff wako hawajali ama taarifa za habari hurekodiwa?
Taarifa ya habari za kimataifa imesomwa kiajabu sana. Habari ya urusi imewekwa libya na kinyume chake. Halafu msomaji hajatuomba radhi. Mzee Mengi umeona? Ama staff wako hawajali ama taarifa za habari hurekodiwa?
nasikia ni mdau wa magugu kwa sana. Halafu shukrani kwa hamis dambaya wa mlimani tv na segment yake ya vijambo. Nyuma ya pazia la kamera kuna upupu mwingi sana