Kidamva
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 2,580
- 1,981
Nimeangalia taarifa ya habari ya ITV saa 2 usiku hawajaipa nafasi kabisa habari ha Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe aliyekuwa na press conference Leo.
Angalau TBC wao wameitoa taarifa hiyo, wamejitahidi ku-balance.
Sasa ITV huu ni woga au kujipendekeza?
Angalau TBC wao wameitoa taarifa hiyo, wamejitahidi ku-balance.
Sasa ITV huu ni woga au kujipendekeza?