masingwale
New Member
- Dec 28, 2017
- 2
- 0
Mdanganye tu Mengi, ukwel ni kua ITV haina mvuto tena, TV bora saivi ni azam kwa taarifa ya habari...Itv watch outHaha! Bavicha Bwana wataanza kumponda mengi...wasijue kwamba Mengi anarusha habari kwa utashi wake wa kibiashara.
Hawezi kuhatarisha biashara zake kisa Chadema isiyojitambua.
Aliwabeba mkashindwa kubebeka kaamua kuwabwaga.... Nyakati zinabadilika acheni kulilia kama watoto....
Hata hivyo inabidi mmshukuru sana Mengi na ITV yake kwa jinsi alivyojitolea kuwabeba....