Parabolic
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 2,744
- 2,613
- Thread starter
- #21
Biashara gani bila watazamaji? Hebu uwe unazishirikisha akili zako basiHaha! Bavicha Bwana wataanza kumponda mengi...wasijue kwamba Mengi anarusha habari kwa utashi wake wa kibiashara.
Hawezi kuhatarisha biashara zake kisa Chadema isiyojitambua.
Aliwabeba mkashindwa kubebeka kaamua kuwabwaga.... Nyakati zinabadilika acheni kulilia kama watoto....
Hata hivyo inabidi mmshukuru sana Mengi na ITV yake kwa jinsi alivyojitolea kuwabeba....

