Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Good question.
Mabingwa
Good question.
swali la maana kabisa hapo ni kwanini ITV wagome kurusha habari za simba, ukiijua sababu ndio utakuwa kwenye position ya kuwalaumu ITV
Kwa Sababu Simba waligoma ITV na Star TV wasirushe live mechi zao