Arsenal
Senior Member
- Aug 12, 2008
- 190
- 71
c kweli kwamba simba waliwaambia lakini ata kama ni kweli mbona Nipashe wanaandika? kwani ata kama hukiambiwa usiandike kwani we binafsi hujui taaluma yako inataka ufanye nini? kwani simba ni ya mtu mmoja? wakikaa simba kama kikao na kutoa barua apo sawa lakini c kwa porojo porojo tu, waandishi wa ITV hawana maana..