Wapangishaji hamna. Gharama za matangazo ni kubwa.
Ukipata muda chunguza MAGARI YA TBL, COKE , AZAM utaona siku hizi hayana maturubai yenye mapicha picha ya vinywaji au unakutwa yamefutwa kwa kupigwa rangi kwa juu. Hii yote ni baada ya gharama kupanda.
Yatarudi mwakani kipindi cha uchaguzi
Kwa tafsiri nyingine kuwa 'inajiuza' (yenyewe). Hii ni hatari sana kwa ustawi wa jamii.Wea in ze rihiti traki . Mbeya ile Tv bord ya matangazi mbele ya century plaza ilikuwa off na yenyewe kwa mda kwa sasa ,inajitangaza kama unataka kuweka pale tangazo
Yaan inajitangaza yenyewe
Haswa inajitangaza yenyewe sasa , umetumia lugha inayoeleweka kwa urahisi weweKwa tafsiri nyingine kuwa 'inajiuza' (yenyewe). Hii ni hatari sana kwa ustawi wa jamii.