sijui nini
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 2,553
- 1,285
Nimekuwa nikisoma hili gazeti linaloitwa Sauti Huru, gazeti la jana, nliyoyaona humo mpaka nikatamani nicheke kwa sauti kubwa!!!
Hivi hili gazeti ndo kawaida yake kuandika hivi au..!??(maana sijawahi liona hapo kabla) Habari zoooote ni za kiuchochezi dhidi ya Chadema... Mara wamemtukana JK, mara bendera yao ya kumwaga damu, mara wanachochea vurugu, mara wabunge viti maalum wa Chadema utata, mara Chadema wameandaa magazeti ya kutangaza ushindi feki, pia wakaona hiyo haitoshi wakamuingiza na mzee mwanakijiji humo humo kwa kummwagia kashfa za kila aina...
Yaani mpaka nikajiuliza hivi ingekuwa ndo yameandikwa haya kuelekezwa kwa CCM lingechukua Round hili gazeti kweli!!?? Yaan gazeti zima limejaa habari za kashfa tuuuuu mpaka linaboa!!
aaarghhh..!!!
Hivi hili gazeti ndo kawaida yake kuandika hivi au..!??(maana sijawahi liona hapo kabla) Habari zoooote ni za kiuchochezi dhidi ya Chadema... Mara wamemtukana JK, mara bendera yao ya kumwaga damu, mara wanachochea vurugu, mara wabunge viti maalum wa Chadema utata, mara Chadema wameandaa magazeti ya kutangaza ushindi feki, pia wakaona hiyo haitoshi wakamuingiza na mzee mwanakijiji humo humo kwa kummwagia kashfa za kila aina...
Yaani mpaka nikajiuliza hivi ingekuwa ndo yameandikwa haya kuelekezwa kwa CCM lingechukua Round hili gazeti kweli!!?? Yaan gazeti zima limejaa habari za kashfa tuuuuu mpaka linaboa!!
aaarghhh..!!!