gubegubekubwa
JF-Expert Member
- Jun 9, 2008
- 637
- 815
Wana jf mi sielewi kwa nini gazeti la mwanahalisi hawataki kuapdate kila mara hawajui kwamba tulio nje tunalitegemea sana kwa kupata taarifa muhimu.Gazeti la Raia mwema wao huwa hawachelewi kuapdate kila week.P/s Wamiliki wa Mwanahalisi tunaomba muwe mnatutendea haki tulioko nje.