Hivi tukiamua kwenda kunyang,anya station yetu na tukaiendesha wenyewe wananchi serikali itasema nini yaani Bi Mkora chuki binafsi na Lema ndio inamfanya anyime haki ya habari wananchi ,anadhani Bunge ni mali yake anaweza akaamua kitu chochote wakati wowote,tukija tukamtoa kwenye kiti chake hicho hivi atalaani hatua hiyo,bi mkora ajiangalie asifikiri nchi hii ni yake na anaweza kuamua na kutenda chochote na sisi tukabaki tunamwangaklia tuu oooh haya bwana