Ni kawaida kila mkutano wa bunge unapofunguliwa sisi tulioko nyumbani tunasubiria kwenye tv zetu kuangalia nini kinaendelea huko mjengoni dodoma, lakini leo hakuna hata tv moja inayoonyesha mkutano huo wa bunge. Je ni sababu gani zimefanya hata tbc ya serikali kuacha kuonyesha mkutano huo muhimu? Hata star tv haionyeshi! Hali hii siyo nzuri wanayotutendea serikali.
Kuna tetesi za chini chini kwamba kuna mkono wa serikali ambao umezuia vituo vya televisheni nchini kutorusha kipindi cha Bunge siku ya leo kutokana na uoga wa maccm kwamba cdm watajipatia uaarufu maana makamanda wamejipanga..tbccm nao eti mtambo haujakaa vizuri.
-Hizi ni fikra mgando sana...na ni ukatili kwa wananchi!!na wanaharakati wafuatiliaji.
-Uchaguzi wa maccm wiki chache zilizopita ulirushwa moja kwa moja na tbccm!!!!!!!lakini leo kwakuwa kila jicho la mtanzania wanajua lipo dodoma...wameona watukatili kwa kutuletea porojo zisizo na mantiki kwa umma.
>>YOU CAN FOOL ALL THE PEOPLE SOME OF TIME,AND SOME OF THE PEOPLE ALL THE TIME,BUT YOU CAN'T FOOL ALL THE PEOPE ALL THE TIME